Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

Na wao waache kutumia mimbari ya kanisa kupiga siasa.
 
Nakuonea huruma!

Sent using Jamii Forums mobile app
jionee huruma wewe kwanza, mie ninajitegemea kwa 100%...haya ni maisha yasiyo na stress kwasabb unakuwa huru kabisa.
siishi kwa kutegemea posho wala mshahara ili nisiwe mtumwa kama wew ulivyo...hebu jiuliulize nafsini kwako huwa ukionana na Polepole unakuwaje, kama sio kujichekesha chekesha kinafki huku ukimuita boss boss!.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumishi huyu huyu akimsifia Magu utakuja kumpongeza. Tuache makengeza
 
Maoni ya huyu Askofu yangetolewa na Sheikh saiz angekuwa ashapewa kesi ya Ugaid.
 
Huna hivyo vitu kwasababu huna PESA, ukipata vijipesa kidogo na ukajenga nyumba, either vyote utakua navyo au baadhi ya hivyo; anyway, kwani kuna sehemu askofu kazungumzia issue ya CORONA!? Au mi ndio sijaona?
 
Unaweza kuwa kiongozi wa dini lakini usimfahamu Mungu unayemtumikia!
 
Povu lote hili inainekana wewe ni kapuku tu! Wenye mafanikio hatujisemi dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumlaumu Baba Askofu ni makosa makubwa, Kwa sababu,!!

Kwa akiri hiyohiyo aliyoitumia Baba Askofu haikutosha kuushawishi umma, pamoja na wasomi wengine wa Kada yake kukubaliana naye kufunga Ibada zisifanyike,

INA maana gani,

Akiri kubwa huchangwa, La sivyo hubakia uchambuzi tu wa kujifariji,

Na ndiyo mana, Akiri nyingine mbadala iliyochangwa na Kwa tahadhari zote mbali na hiyo isiyochangwa, watu waliendelea kumwabudu Mungu, na hao hao ambao pengine ilifikiliwa kinyume chake baada ya akiri aliyoiafiki Baba Askofu kuitumia, wataungana tena na Baba Askofu kuendelea kumwabudu Mungu wakiwa na Afya njema kama ilivyo kwake

Chanzo cha Akiri ni Mungu, na hivyo, ni vyema Akiri ikabaki katika nafasi yake ya pili na nafasi ya Kwanza Mungu akapewa nafasi yake

Na bila Shaka hakuna aliyemuomba aanze kujitetea, ni udhaifu Tu ambao humtokea mtu yeyote
 

Kumuamini Mungu ndo ujitie hatarini atakuokoa?
Usimjaribu BWANA Mungu wako
 


Hawa ndio maaskofu Malaya tu na hana adabu kabisa pimbi huyu, kwanza anathubutuje, pumbavu kbsa hili dudu na limeandika ili aibike nani kama halitaki lihamie huko kwenye lockdown, Mungu hapangiwi procedures.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…