Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

Napata mashaka na uelewa wako
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nawajua maaskofu wenye phd na wale wanaojiita wasomi kiimani ni sifuri tena hapo utakuta amejaa mahirizi lukuki!

Sasa jiulize anafungua tena makanisa kwani corona imeisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe shida yako ni kuwa huna kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumenyimwa haki yetu ya kusali msipofungua makanisa tutayachoma moto,hahah maigizo ya kaole sanaa group bana.
Kichwa chako kimejaa mbege asubuhi yote hii!

Mpe pole Bagonza kiki yake ya kufunga makanisa imebuma kama ile ya chadema kujifungia karantini alafu wakaishia kuvurugana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa chako kimejaa mbege asubuhi yote hii!

Mpe pole Bagonza kiki yake ya kufunga makanisa imebuma kama ile ya chadema kujifungia karantini alafu wakaishia kuvurugana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah waulize wao kama kweli wanaamini Mungu yupo ni kwanini wao wana ulinzi wa kufuru?kwanini wasimuachie Mungu tu awalinde?

Kwa sababu wanajua Mungu aliwapa akili wazitumie-Bagonza the great.
 
Hahah waulize wao kama kweli wanaamini Mungu yupo ni kwanini wao wana ulinzi wa kufuru?kwanini wasimuachie Mungu tu awalinde?

Kwa sababu wanajua Mungu aliwapa akili wazitumie-Bagonza the great.
Kama hayo ndio kasema Bagonza basi nahitimisha kwa kusema, aachane na huo uaskofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hayo ndio kasema Bagonza basi nahitimisha kwa kusema, aachane na huo uaskofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah anakwambia unamuona Simba anakuja kwako kwa kasi badala ya kukimbilia juu ya mti na kumuomba Mungu ukiwa ukiwa juu ya mti wewe unasimama huku ukisali kisa eti Mungu yupo nakuhakikishia utaliwa tu hahah

Bagonza ni PH.d kweli kweli.
 
Kumuamini Mungu ndo ujitie hatarini atakuokoa?
Usimjaribu BWANA Mungu wako
Mathayo 3:9
wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto.
*Mathayo 19:14
Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao.
*Mathayo 18:20
Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
*Luka 11:9
Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
* Yohana 14:11-14
Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
12 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
13 Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.
14 Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
* Marko 11:23
Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia mlima huu, Ng'oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake, ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.
- Maandiko haya in sehemu tu ya maandiko yanayohubiriwa kanisani. Je! Yanatuambia tutumie akili iwe ya kuzaliwa, ya kufundishwa au ya kusomea? Je! Kuna PhD inayothibitisha uwezekano wake? Kimsingi yote yanahitaji imani, tena imani isiyoyumba. Hapo hakuna hoja ya kumjaribu BWANA Mungu wetu.
Hapa kuna suala la kumuomba BWANA Mungu wetu kwa bidii atutoe katika janga. Kama akili zetu zinatuambia tusimuombe tusimjaribu basi imani yetu ni bure na haifai.
Wamwaminio BWANA Mungu wetu waliokusanyika na kuomba kwa bidii bila woga au hofu wako sahihi kabisa na mkono wa BWANA unaonekana juu yao.
Bwana Yesu Kristo asifiwe milele yote amina.
 

HARMONISER ni Mtanzania?
Mbona anasifia tu hata mtu aki FRAT?
Mamlaka hazioni kwamba huyu msanii kuna jambo anaficha? kila kitu kusifia hata mtu akicheua ama kupumua hewa chafu mwilini?
 
wewe POYOYO, kabla hujamuuliza hayo maswali BAGONZA jiulize haya maswali?
UISLAMU na UKATOLIKI/LUTHERI umekuja na Meli.
ROMA/BABA MTAKATIFU alikuwa wa Kwanza kufunga Kanisa kubwa kabisa duniani St Peters Basilica na MECCA/UISLAMU wakafuata wakafunga msikiti mkubwa kabisa duniani na kufuta HIJJA za mwaka 2020, wewe POYOYO wa Tanzania usiyejua chanzo hata ch hizo dini, unayelishwa hadithi za MARIA , na Mtume ndio una imani kuliko walio zileta?>

Acha upumbavu, Corona ipo na inaua, haichagui dini wala kabila, mwezio alijifungia CHATO miezi miwili na mwanae alipoumwa akaagiza ndege ikachukue dawa madagaska, sasa wewe endelea na U-MATAGA wako utavuna unachotaka
 
Ukichagua ukweli utaonekana msaliti na unatumika na mabeberu

Its not over until its over...[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…