Askofu Bagonza anaiponda CCM na wanasiasa wa siku hizi kupitia Sauti ya Ujerumani muda huu

Askofu Bagonza anaiponda CCM na wanasiasa wa siku hizi kupitia Sauti ya Ujerumani muda huu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
  • Anaponda kauli ya CCM wanayosema CCM itakaa madarakani hadi Yesu atakaporudi
  • Wanasiasa wanaoelewa nini maana ya siasa wamekwisha sasa
  • Anazungumzia hofu kubwa za kutekwa kwa watanzania kutokana na kuwa na mawazo tofauti na serikali


  • 4R imetekwa na hakuna utekelezaji tena
  • Walio madarakani wanalalamika, mitaani wanalalamika, hata walio madarakani wanalalamika
  • Mfumo wa uchaguzi wa kidemokrasia unaozingatia demokrasia unahitajika
Nguvu za upinzani
  • Asema hata CCM ni chama cha upinzani, anayeongoza ni dola sio CCM.
Mwisho
  • Analiombea taifa letu amani. Awaonya wanaotaka kuwashughulikia wapenda mabadiliiko wafikiri upya na kuruhusu demokrasia kutendeka
 
  • Anaponda kauli ya CCM wanayosema CCM itakaa madarakani hadi Yesu atakaporudi
  • Wanasiasa wanaoelewa nini maana ya siasa wamekwisha sasa
  • Anazungumzia hofu kubwa za kutekwa kwa watanzania kutokana na kuwa na mawazo tofauti na serikali


  • 4R imetekwa na hakuna utekelezaji tena
  • Walio madarakani wanalalamika, mitaani wanalalamika, hata walio madarakani wanalalamika
  • Mfumo wa uchaguzi wa kidemokrasia unaozingatia demokrasia unahitajika
Askofu yupo sawa
 
  • Anaponda kauli ya CCM wanayosema CCM itakaa madarakani hadi Yesu atakaporudi
  • Wanasiasa wanaoelewa nini maana ya siasa wamekwisha sasa
  • Anazungumzia hofu kubwa za kutekwa kwa watanzania kutokana na kuwa na mawazo tofauti na serikali


  • 4R imetekwa na hakuna utekelezaji tena
  • Walio madarakani wanalalamika, mitaani wanalalamika, hata walio madarakani wanalalamika
  • Mfumo wa uchaguzi wa kidemokrasia unaozingatia demokrasia unahitajika
Nguvu za upinzani
  • Asema hata CCM ni chama cha upinzani, anayeongoza ni dola sio CCM.
Mwisho
  • Analiombea taifa letu amani. Awaonya wanaotaka kuwashughulikia wapenda mabadiliiko wafikiri upya na kuruhusu demokrasia kutendeka
Ameongea maneno mazito sana. Kumbe hata CCM yenyewe ni chama cha upinzani! Na badala yake dola ndiyo inatawala?! Aisee!! Kama kuna ukweli hivi!!!
 
Back
Top Bottom