Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

nimewapeni mbinu,2025 mkamtukane jukwaani kwamba alikiwa fisadi,muuaji,na alibana haku zote.
mtagundua jambo jipya.

Hizo mbinu ungewapa ccm ili iache kutegemea vyombo vya dola kubaki madarakani.
 

Post ya Mkuu wa nchi inapaswa kuwa sensitive sana, ila kinachoendelea hapa nchini kwetu ni tofauti kabisa. Usitake kutufanya tuone kuna umakini mkubwa sana kumpata rais wa nchi hii. Kama kungekuwa na umakini wa hivyo, JK na Magufuli wasingeweza kuwa marais wa Nchi hii. Nadhani kwako ukichaa ni mpaka mtu avae makopo shingoni na kiwa kichaa. Hivi kiongozi anayeagiza kupambana na Corona kwa kuweka kibanda cha kujifukiza ushirikina, kwenye hospitali kubwa ya taifa bila scientific proof, unautetea vipi ukichaa wake? Nenda leo hapo Muhimbili kama kile kibanda kama bado kipo.
 
Mtu keshakufa ila bado anaendelea kusemwa kama vile bado yupo hai, hiyo sasa ni chuki.

Hitler, Mussolin nk wamekufa zamani lakini bado wanasemwa mpaka leo, itakuwa huyo wa juzi? Isitoshe hakuna anayekulazimisha umseme, acha wanaotaka wamseme, ili kuepusha huko mbele nchi kuangukia kwa kiongozi mwingine muovu tena.
 
Dialo ameomba radhi
Your browser is not able to display this video.
 
Hitler, Mussolin nk wamekufa zamani lakini bado wanasemwa mpaka leo, itakuwa huyo wa juzi? Isitoshe hakuna anayekulazimisha umseme, acha wanaotaka wamseme, ili kuepusha huko mbele nchi kuangukia kwa kiongozi mwingine muovu tena.

wewe huna uwezo wa kuamua nchi apewe nani.

kwani ni mali ya watu fulani pekee hii??una uhakika gani kama unayemwaminini ni mzima kichwani!!!

hitler na mussolin ni viongozi waovu kwa kila binaadamu goi goi na mpenda kitonga,kwa wanaume shupavu wale ni mfano wa kuigwa.
hii dunia ingebaki na wapenda kitonga milele isingekuwa ilipo leo hii,nawewe unajua.
 
f
Kumfananisha Mwendazake na Nyerere ndio wendawazimu aliousema Dialo Jana
Siku zote unapofananisha unaeleza vinavyofanana kwa hivyo unavyovifananisha na ndio maana nimeeleza nimewafananisha kwa lipi, sasa kama wewe umeangalia meno ya Nyerere ya yaliyokuwa yamechongeka ukaona hayafanani na meno ya Magufuli basi hapo kweli unaweza kusema hawafanani.

Wote wanazungumziwa hadi sasa na wote wanasemwa kwa mazuri na mabaya, tatizo unafikiri watu wote wanamchukulia Nyerere kama unavyomchukulia wewe.
 
1.Nadhani Dialo analipa kisasi kimtindo....anamkomoa marehem. Hatari sana.
2. Kwa wale wakazi wa Dodoma wanajua yakua Mirembe hawatibu magonjwa ya akili tu!
Hivo kua na faili Mirembe haimaanishi ugonjwa wa akili.

3. Ikitokea mtu mmoja katika jamii flan akawa na akili Sana, genius, na akaamua kua mzalendo na kuiongoza, Basi wakwapuaji na sehemu ya jamii ambao ni wajanja wajanja wataumia
Mwisho!!
Kama haya ninayo yaona mabarabara Hadi Mbamba bay huko, Ludewa Makete, sikonge huko, Ma SGR, Li Stiglers Gorge, Majizi na majambazi kukomeshwa, Mavivu serikali kukomeshwa, Mabeberu kutii amri, Tanzanite yetu Ndege zetu na mengine mengi.........

Kama kweli yote hayo yaliletwa na kichaa, basi nashauri 2025 turudi Mirembe tukatafute kichaa mwingine atuongoze Ili tupate maendeleo ya Chap-kwa -Haraka.

Lala salama Rais mzalendo
 
Hitler, Mussolin nk wamekufa zamani lakini bado wanasemwa mpaka leo, itakuwa huyo wa juzi? Isitoshe hakuna anayekulazimisha umseme, acha wanaotaka wamseme, ili kuepusha huko mbele nchi kuangukia kwa kiongozi mwingine muovu tena.
Na ndio nimesema hiyo ni chuki na si kitu chengine, tatizo hapa hamkubali kwamba wengi kinachowasumbua ni ile chuki mliyonayo kwa Mwendazake na ndio kinachowafanya mtowe haya mapovu yote mnaongea hata yale ambayo ni mambo binafsi ya huyo Mwendazake, sasa ni chuki ndio yenye kuweza kufanya mambo hayo na si vinginevyo.

Yani watu wanahasira zao binafsi dhidi ya Mwendazake ndio hujifanya wanakosoa kumbe ndio hupunguza hasira zao humo kwa michuki waliyonayo.
 
Kama ulikuwa hujui ndiyo ujue kwamba yule dhalimu mwendazake alikuwa mwendawazimu na siyo siri. Uwe unafuatilia habari za yanayojiri nchini kwa ukaribu badala ya KUKURUPUKA na kuanza ubishi wa kijinga. Na zihaka ndiyo mdudu gani!?

 

Hitler,Mussolin na waovu wengine wa aina hiyo hawapo, mbona dunia bado inapaa tu kwa maendeleo ya hali ya juu?
 

Hivi unadhani hatujui ipi ni chuki binafsi na upi ni ukweli hasi kuhusu yule dhalimu? Sema cha uongo alichokisema Diallo juzi ili tupime chuki yake dhidi ya huyo dhalimu. Ama unadhani dhalimu kufariki ndio kinga ya chuki aliyoeneza ndani ya nchi hii kunyamaziwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…