Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Unaweza ukashangaa 2025 mgombea urais CDM akawa JK wa saigoni...na makamanda tukampigania balaa, makamanda hatuaminiki sisi..
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Kwakuwa uwezo wako wa kufikiri ni mzigo sana.
Kazi ya kiongozi wa dini ni pamoja na kuelekeza mema na kukemea mabaya. Watawala pia ni waumini wa dini mbambali

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza ukashangaa 2025 mgombea urais CDM akawa JK wa saigoni...na makamanda tukampigania balaa, makamanda hatuaminiki sisi..
Tz kuja kupata Raisi kama JK ambaye ni diplomat mzalendo na Raisi mstarabu itachukua mda, watu wa lijivunia kua Watanzania dimikurasia na Utawaala wa sharia kwa angalau asilimia kubwa ulionekana, Kosa la JK ambalo citakuja kumsahau ni kutuletea huyu JPM wake uncivilised man, katurudisha nyuma miaka kama 20 na chief Hangaya ameanza kumiiga huo buana.
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Lazima wewe unaejiita Shetani ni pepo, huwezi ipenda heri ya baba Askofu…
Umelaaniwa duniani na mbinguni.
 
Hahahaha.. Bagonza si ndio huyu aliisifia sana awamu hii?
 
Vipi Gwajiboy 2025 ataamua kurejea kwenye ile kazi yake ambayo ni ya hadhi juu mno kuliko hata urais wa nchi?

Kumtumikia Mungu waweza linganisha na kutumikia watu? Thubutu!

Hiiiiii bagosha!
Gwajima 2025 tutamfanya awe mshenga wetu wa kumleta membe chamani baada ya ile ya kumleta lowasa 2015
 
Nayaheshimu maoni yako kwangu kama ninavyoyaheshimu ya akina Bagonza.....

Maoni ya mtu si lazima yawe sahihi na yenye UHALISIA...
Ndio useme unaona maoni hayo sio sahihi kwa sababu gani, tupime sababu zako vs kile alichoandika Bagonza, usizunguke zunguke tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo sasa hivi mnakili kwamba selikali hii inaongozwa na sukuma gang tena?
 
Kwani askofu kaongelea ubora wa awamu ya 4 au katoa utofauti wa awamu ya 4 na 6.Vip kichwa chako ni kidogo sana kuelewa au shida nini?
 
Si mlikuwa mnasifu kwamba sukuma gang wamekomeshwa?

Na bado
 
Wasipokuelewa kwa ufafanuzi huu watakua na matatizo makubwa ya kufikiri.
 
Acha porojo zisizo na maana wewe.
 

JK ni aina ya Rais anayepaswa kuongoza Taifa ambalo limeshaendelea tayari na watu wake kwa zaidi ya 80% wanajielewa na wamestaarabika na mifumo iko tayari...
JK anaweza kuongoza nchi yeyote Ulaya au hata USA..

JPM anafaa na alifaa kuliongoza Taifa kama hili ambali bado haliko tayari kimifumo na zaida ya 80% ya watu wake ni wajinga na wapumbavu wasiojielewa... Watanzania bado wako kwenye stage ya kuswagwa kama punda au ng'ombe na wakishavuka hiyo stage sasa ndio wanapaswa kuongoza watu kama JK....Unafikiri hawa wapumbavu wala rushwa na wezi wa mali za umma + wauza madawa nk utawashughulikia kimama kwa kuwalealea wataacha...hizi hela za miradi bila kuwa kiongozi mkorofi unafikiri miradi itakwenda...

Bado Watanzania wako kwenye stage ya mijeledi na kuswagwa..
 
Kwahiyo wakifanya hayo ya kiuchumi ni sawa ila wakikosoa serikali haitakiwi?.acha kutangatanga ndugu.dini ni kazi kama kazi nyingine.kama ambavyo kiongozi wa kisiasa anaweza akawa mhumini wa dini ndivyo ambavyo mkulima anaweza kua mwalimu na mchungaji kua mwanasiasa.zaidi ya hapo ni porojo tu kwasababu hatutaki kukosolewa.hao viongozi wa dini wangekua wanasifia tu kamwe usingesikia hizi porojo za kwamba kiongozi wa dini asihubiri mambo ya kisiasa ila kwavile wanakemea maovu ambayo watawala hawapendi kusikia ndipo zinakuja hizi hoja mfu.
 
Huyo mtu wakutuswaga hivyo atapatikana vip?.Ndo maana wenye akili wanataka katiba mpya yenye ubora utakao weka mifumo thabiti yakuongoza nchi kwenye kila nyanja badala yakutegemea mtu ambaye ata akipatikana bado atapita uku nchi ikiendelea kuwepo.
 
Ndio useme unaona maoni hayo sio sahihi kwa sababu gani, tupime sababu zako vs kile alichoandika Bagonza, usizunguke zunguke tu.

Huyo chawa akitoa sababu hata moja usiache kutustua mkuu 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…