Askofu Bagonza: Ushindi wa kishindo ni kaburi la maendeleo Afrika

Hayo ni mambo ya kupambana nayo kama vile unavyotakiwa kupambana na hali yako! Usitafute visingizio vya aina yoyote katika kupambana na udhalimu wa aina yoyote katika jamii kama kweli wewe unapenda haki. Mambo kama rushwa, kubambikiwa kesi, kudaiwa ada au michango na walimu mamluki, ni mambo yako ndani ya uwezo wetu, ni suala la "kujilipua" na kudai haki yako, hata kama ikibidi kwenda IKULU sawa, nenda! Haki haipatikani kwa kulalamika au kusema mauongo. Haki inapatikana kwa kusema ukweli wenye vielelezo bila WOGA!
 
Haya usemayo siyo mageni! Ni UONGO tuliowahi kuusikia toka kwa Lissu na BOB wake; na wewe unauleta tena. Haya ya watu kupigwa risasi za ndege ya akina Lissu tulishayaeleza humu kuwa ulikuwa ni muendelezo wa vita ya kugombea UENYEKITI ndani ya CHADEMA ndiyo maana hamtaki kumsalimisha dereva wa Lissu kwani atamwaga mambo yote hadharani. UONGO usio na ushahidi ni kama kumpigia mbuzi gitaa, unapoteza muda na rasilimali zako.
 
Una elimu gani wewe? Tuanzie hapo kwanza. Kama umeshindwa kumuelewa askofu kwa maelezo mepesi hivi, nina shaka na uwezo wa kichwa chako.
Askofu, Askofu! Basi aje na maelezo ya kweli siyo suala la kunakiri vifungu vya Biblia Takatifu na kutaka ASIHOJIWE! Huko ni kujificha na kukwepa ukweli. Tutakuhoji tu mpaka ueleweke! Na wewe unaye muelewa Askofu, basi yaelezee hayo asemayo kwa lugha nyepesi ili hao unawashakia uwezo wa vichwa vyao wakuelewe!
 
Muulize huyo mzee kama ana imani na akijua mungu husikiliza maombi ya wateule wake,
na kama mungu ameshindwa kuwasililiza watu wa mungu wanne (4) Bagonza, Mwamakula, Katimba na Ponda, basi ajue hata mungu hayupo upande wao, wanapaswa kutubu zaidi na kumuomba mungu ili siku moja maombi yao yasikilizwe.
Na kama ni muumini mzuri hiyo nafasi angejiuzuru kwa kuwa mungu amekataa maobi yao.
Sasa kabaki kubwabwaja kama mke mwenza badala ya kuomba mungu awape kondoo wake uzima na afya.

Bagonza kama anafikiri yeye anapendwa zaidi aje ajipime aone wangapi watamchagua.
 
Ni aibu na dhambi inayohitaji MTU muungwana kutubu pale mgombea anaposema msipomchagua fulani wa chama changu msinidai maji,Barabara etc.
Sikuwahi kuwaza tunaweza kuwa na kiongozi kwenye kauli zahivi!!!
 
Afrika inaangamia kwa kulazimisha mfumo wa kiutawala wa kuazima ambao hauendani hata kidogo na uhalisia. Kwa wanaojua historia wanajua kuwa kabla ya huu wendawazimu wa kimagharibi jamii zetu hazikuwahi kuwa na migogoro ya ndani kwa ndani.

Huyo askofu wenu akumbuke kuwa watanzania kwa mfano hawajaanza leo kuukataa huo upuuzi unaoitwa demokrasia. Hayo pia ni madhara ya kupuuza maoni ya watu wengi.

Hii demokrasia ya kimagharibi inajifanya kuwa sauti ya watu ilhali ujio wake ulikuwa wa kibabe usiojali sauti za watu walioukataa (rejea kura ya maoni ya mwaka 92).

Pia pengine aliyeturoga waafrika alikufa kweli. Huyo askofu na wafuasi wake wa mitandaoni hawakumbuki kuwa hao wazungu walitutawala (ukoloni) bila demokrasia? Kwa nini wao hawakutumia demokrasia kututawala? Ni rahisi, wanajua waafrika wengi wa kisasa (wasomi) ni marehemu kifikra.
 
Wahaya wana shida sana, kwa dharau zile za Bagonza kisa ule udokta wake, basi yeye kwake Mungu si lolote mbele ya phd yake.
Bagonza sio Mhaya.

Nasikia kabila lake ni Mnyambo.

Ukweli kuhusu makabila ya Kagerauko hivi :
  1. Waziba wa Kiziba,
  2. Wahamba wa Muhutwe,
  3. Wayoza wa Bugabo
  4. Waendangabo wa Bugabo,
  5. Wanyaiyangilo wa Muleba,
  6. Wakara wa Ukerewe,
  7. Wasubi wa Biharamulo
  8. Wazinza wa Ukerewe.
 
Wewe ni kijana uliyezaliwa hivi majuzi labda kwenyebio za mwenge. Hao viongozi wako wamewaweka wengi gerezani kwa kuambiwa matatizo ya nchi
mbele yao. Hivi hawa watu waliouliwa ,kuteswa na kuibiwa majumbani hao wanasiasa wako si ndio wanaowakingia kifua wauwaji majukwaani. Hivi siasa kwako wewe ni kikundi cha majambaji kujitwalia madaraka kwa kulitumia jeshi?
 

Ni uongo na mashamba yetu mengine yamenyakuliwa na hao wezi? Mbona wenyewe hawajawahipo kukanusha popote??Au wewe ni msemaji wao??
 
Njia ya kwenda Mbinguni ni nyembamba.
Waionao ni wachache na wanaoipita ni wachache. Jitahidini kuipita....

Askofu anapita njia ya wengi ambayo ina kila aina ya ufahari na ukwasi.

Siku ambayo ataisema CDM kwa kuikosoa hapo ndipo atakuwa amegusa mfupa.

Siku inakuja
 
hana tofauti na nabii tito
 
Bro data za Bunge la marekani umegoogle nini, Mpka sasa republican wana viti 211 Kwa 222 vya democrat
 
Ni uongo na mashamba yetu mengine yamenyakuliwa na hao wezi? Mbona wenyewe hawajawahipo kukanusha popote??Au wewe ni msemaji wao??
Kama wamechukua ardhi kisheria lakini wewe unaona WAMEPORA, basi hiyo ni SHIDA! Hebu nendeni kwa Pilato badala ya kusemasema humu JF bila ushahidi wowote!
 
Kama wamechukua ardhi kisheria lakini wewe unaona WAMEPORA, basi hiyo ni SHIDA! Hebu nendeni kwa Pilato badala ya kusemasema humu JF bila ushahidi wowote!


Ndivyo walivyokuambia kuwa wamechukua kisheria. Mbona haya mambo yamesemwa kwenye majukwaa na wao hawajayakanusha , wacha kujamba jamba tu
 
Ndivyo walivyokuambia kuwa wamechukua kisheria. Mbona haya mambo yamesemwa kwenye majukwaa na wao hawajayakanusha , wacha kujamba jamba tu
Serious people do not work from MAJUKWAA, watu wanafanyia kazi mambo yenye ushahidi siyo hoja za kibabaishaji huko kwenye majukwaa. Nani akanushe upuuzi na uongo huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…