Askofu Benson Bagonza: Kuweka nchi sawa ni kazi isiyoisha

Askofu Benson Bagonza: Kuweka nchi sawa ni kazi isiyoisha

Ingekua hivyo tuu majambazi na wauaji wote wangeshazimwa

Ila ukweli ni kwamba kila nafsi itaonja mauti na Mungu huruhusu kifo kwa amtakaye, haijalishi ni mzee au kijana au mtoto mdogo
Jambazi kuu lilishaenda zake, kwisha kabisa... kaputi
 
Huo ndio ukweli. Hakuna nchi ambayo ipo sawa, hata China, Japan na Marekani bado haziko sawa
SASA kuwa Sawa ni nini?... Target ya kuwa Sawa ni ipi kama hapa Duniani hakuna nchi iko Sawa, tunapata wapi Reference?!
 
Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe

"Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi"...
Katiba mpya ni hapana hapana kwa maana katiba iliyopo inapata najisi kubwa sana, tuanze kwa kuiheshimisha hii iliyopo, imbeni utawala wa sheria na katiba kanuni na miongozo ya haki na rafiki, ukomavu wa kisiasa wa katiba pendekezwa kwa Tanzania bado sana.

Hongera mmepata dikteta mpya kwa lugha nyepesi, huyu ni wa miaka 4 tu na sio zaidi ya hapo afanye vizuri auafanye vibaya Tanganyika huyu sio size yake, na habari ya mikutano na katiba mpya hawezi kuhimili na uwezo huo wa ukomavu na weledi kiutawala na kisiasa hana.

Mtake msitake hayo mambo huyu hatafanya subiri Rais ajaye 2025 full stop yaani over. Ni mtazamo tu mawazo kinzani ni afya na ntayapokea vema kabisa, samahani sitajibu swali lolote.
 
... uko ushahidi wa wazi kwamba hata Malaika Mkuu Gabrieli aingie CCM ndani ya muda mfupi sana atakuwa polluted tu! Mna haja tena ya kutafuta kujua adui wa nchi hii ni nani?
Mkuu Pole Sana Yaani Hadi leo Haujui Adui wa Taifa Hili...Basi Usikiapo Neno "CCM" jibu ni Hilo. CCM ndiye Adui Number 01, na Mengine ni Cha Mtoto tu.
 
Mama naye kageuka kifutu,anajitutumua kwa kauli za hovyo hovyo.Utadhani hii nchi ni ya baba yake anaweza akafanya anacho jisikia kukifanya kama alivyokuwa shetani jiwe
 
Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe

"Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi"....
Uzuri ni kwamba marais wetu wa awamu zote,walikuwa na imani sana kwa viongozi wetu wa dini.Hivyo nawashauri viongozi wa dini toeni ushauri kwa Rais bila kuchoka katika mambo muhimu ambayo ni hitaji la jamii kwa sasa.sisi wengine wengi sana hatuna nafasi bado ya kukaa karibu na Rais na kumpa ushauri kama inavyotokea kwenu. Hivyo itumieni hiyo fursa kwa hekima kubwa kwa manufaa ya nchi.
 
Samahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli.
Huyu askofu tangia nianze kumsikia, hajawahi kuuma ulimi.
 
Back
Top Bottom