vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,845
- 2,258
Ashupazaye shingo huvunjikaaa!...sijui kama wamekuelewaaTuna katiba ya warioba Ina maoni na mapendekozo toka kwa wananchi .
Kinachoweza fanyika Ni marekebisho machche then itakapigiwa kura na wananchi na ikaanza tumika rasmi..