Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Mheshimiwa rais Samia naomba ukipata muda upitie hii kanuni ya kisayansi iiywayo:
Heisenberg's Uncertainty Principle.
Heisenberg's Uncertainty Principle.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bagonza unamjua au unamskia unachoongea wewe ni past tense tulishatawalia na dikteta bagonza aliongea Sana hakunyamaza Kama viongozi wengine wa dini unless ndio unamskia leo.Samahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli
Piga spanaAskofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe
"Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi"
"Haki na uhuru ni misingi imara ya kuweka nchi sawa. Ukiyaahirisha unajitwisha mzigo mzito. Dai la katiba mpya lina faida kubwa kwa Rais kuliko kwa taasisi nyinginezo. Katiba mpya ni dawa si kikwazo"
"Uhuru wa kisiasa ni kichocheo cha ukuaji wa uchumi. Ukiahirisha maisha ya siasa, umesimamisha ukuaji wa uchumi. Tufikiri upya"
"Aliyepita alifanya mambo. Huyu amefanya mambo kwa siku 100 yakafurahisha. Akija mwingine kwa mazingira ya alivyokuja huyu (hatuombei), naye aondoe haya na kuleta mengine? Tutamaliza lini?"
"Kuweka nchi sawa kwanza" ni kazi isiyoisha na ni ya kila siku. Nchi huwekwa sawa kwa kutumia katiba na sheria si kwa kuahirisha matumizi ya katiba na sheria"
"Unapoanza kuahirisha matumizi ya Katiba/sheria unakuwa umekabidhi nchi iongozwe na mtu au kundi. Madhara yake ni haya: Hata wawekezaji hawawezi kukuamini kwa sababu hawajui kesho utaamua nini? Usalama wa mitaji huletwa na sheria siyo matamshi wala ahadi"
"Kulikuwa na tetesi kuwa watu fulani walijaribiwa kuahirisha katiba wakati wa msiba ili kwanza tuzike. Huwezi jua waliwaza nini na ahirisho hilo. Nani ajuaye labda walikuwa na kigugumizi cha kumpokea mama?"
"Hivi karibuni pia tumeshuhudia haya: Kukamata watu na kuwaweka ndani bila utaratibu kwa sababu tuko kwenye vita ya kiuchumi na huko nyuma "tumepigwa sana"
"Hivi karibuni tumeshuhudia haya: 1. Kuzuia mikutano ya kisiasa ili kwanza "kunyoosha nchi". 2. Kuzuia nyongeza mishahara ili kwanza kukamilisha miradi ya kimkakati. 3. Kuzuia upandishaji wa madaraja na vyeo kazini ili kwanza tuhakiki mambo"
"Ni hatari kuahirisha(suspend or postpone) matumizi ya sheria na katiba katika kuongoza nchi kwa sababu yoyote ile. Tawala za kijeshi ndizo zenye tabia hii. Tawala za kiraia huweza kufanya hivyo wakati wa vita au hali ya hatari kwa ruhusa maalum ya bunge
Vyote hivi vinatakiwa viende sambamba au kimojawapo kisubiri kwa maslahi mapana ya nchi?Nchi inahitaji KATIBA mpya kwa kiwango sawa na inavyohitaji uchumi kupaa.
Mawazo finyu.Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye
Labda wewe humjui Bagonza.Samahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli.
Tuna katiba ya warioba Ina maoni na mapendekozo toka kwa wananchi .Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.
Kama huna muongozo kamwe huwezi kufikia huo uchumi imara.mambo mengine ni porojo tu za wana siasa.Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.
Mm nautuma kwenye akaunti yake ya Twitter Sasa hivi. Asitutanie huyu mama.Akiupata ujumbe huu hakika atawaita tena wahariri kutengua mada
Unasemaje mkuu. Hebu itandaze hapa kwa ufupi tuone namna inamzodoa kwa alichokiamuaMheshimiwa rais Samia naomba ukipata muda upitie hii kanuni ya kisayansi iiywayo:
Heisenberg's Uncertainty Principle.
Mm nishamtema tayari. Huyu mkojani alikuwa na utamu wa bigijiiMaza aelewe soon ataanza pita kwenye mstari wa mwendazake watu hawatakuwa nae Tena .
Kwa kifupi Mama kachemsha, sijui ndio KUDEMKA huko"Ni hatari kuahirisha(suspend or postpone) matumizi ya sheria na katiba katika kuongoza nchi kwa sababu yoyote ile. Tawala za kijeshi ndizo zenye tabia hii. Tawala za kiraia huweza kufanya hivyo wakati wa vita au hali ya hatari kwa ruhusa maalum ya bunge"Askofu Dk.Benson Bagonza