ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kama nguruwe na ngiri, WOTE kichaka chao kimojaMmoja alinyoosha nchi
Mwingine anainua nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nguruwe na ngiri, WOTE kichaka chao kimojaMmoja alinyoosha nchi
Mwingine anainua nchi
Katiba mpya ni haki yetu wananchi/wtz na sio hisani ya watawala na nyie vibaraka wao mnaofaidika na Katiba mbovu.Mama anacheka na nyani ... sisi Watz hatutaki katiba mpya wewe mbelgiji mweusi unasemaje?
askofu mwanaharakati.Huyu Askofu tangu enzi ya utawala wa dikteta alikuwa anaongea na hajawahi kuogopa, ndiyo maana aliitwa uhamiaji kuwa siyo raia.
kuna mipango na majaliwa chini pale,yaani mtakuwa mmeruka mkojo na kuyatimba makimba jumla jumla.Usimsahau Mungu kwa uwezo wake wa kuzima wakandamizaji
mama anaendelea kuupiga mwingi mrefu ulionyooka[emoji23][emoji23][emoji23].Uchumi ni Endelevu sio swala la Mwaka mmoja au miwili hivyo hakuna Siku tutasema sasa Uchumi wetu umekuwa tuache kushughulikia Uchumi tushughulikie Katiba.
Serikali ina Matumizi Makubwa yasiyo ya Lazima Pesa nyingi za Walipa KODI Zinaishia huko kwa Mfano Mishahara ya Wabunge 400,DC 140,Das140,Ded 200 na Magari yao Unatarajia UCHUMI Uwe Mzuri?
Shetani hajawahi kumshinda Mungukuna mipango na majaliwa chini pale,yaani mtakuwa mmeruka mkojo na kuyatimba makimba jumla jumla.
Yaonekana,Katiba mpya ni turufu ya mama...kuda utasema....2024
Unapigwa mwingi, tulieni.Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe
"Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi"....
Tunajenga uchumi kwanza...katiba mpya inamsaidiaje bibi yangu kijijini?Katiba mpya haikwepeki , Mama kapotoshwa vibaya sana !
Katiba mpya inamsaidiaje bibi yako kijijiniPiga spana
andiko la kimasikini mno !Tunajenga uchumi kwanza...katiba mpya inamsaidiaje bibi yangu kijijini?
Harafu maaskofu wa kkkt huwa wa nakubali sana wamenyooka sana hawaigopi kusema msimamo wao na kile wanachokiaminiHuyu Askofu tangu enzi ya utawala wa dikteta alikuwa anaongea na hajawahi kuogopa, ndiyo maana aliitwa uhamiaji kuwa siyo raia.
Ndiyo maana Mama anajenga uchumi. Katiba mpya haitusaidiiandiko la kimasikini mno !
Mungu hafanyi kwa mapenzi ya ufipa,bali ta kwake mwenyewe.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Soma tena hoja ya Askofu. Inaonekana hujaelewa. Huo uchumi kujengwa kwake, pia kunategemea katiba na sheria bora.Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.
Ungewaacha kwanza walio timamu wajadili hoja.Mama anacheka na nyani ... sisi Watz hatutaki katiba mpya wewe mbelgiji mweusi unasemaje?
Hoja mfu hii, wanufaika nini weweMchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.