So anapingana na haki ya maadili ya imani yake.Shida ni ukiamua kua mtetezi wa haki za binadamu ni utatakiwa kutetea na haki za first generation ambazo ndiyo zinacover maswala ya ndoa za jinsia moja na ushoga.
umri na mambo aliyoyafanya yanaendana vipi? Mana hata watu waliofanya makubwa wapo kwenye vitabu vya historiaUna umri gani?
Kuwatawala wazulu,chek upumbavu wanaoufanya sasa hivi haukuwepo nyumaMakaburu walikuwa sahihi kivipi?
Kafanye uchunguzi wa afya ya akili yako.Kuwatawala wazulu
Ujui kituKafanye uchunguzi wa afya ya akili yako.
Pamoja na kupigania haki za mashoga na kibaraka wa wazunguDesmond Mpilo Tutu ni Askofu mkuu wa Kanisa Anglikana nchini Afrika Kusini. Ilivyofika mwaka wa 1984 alipokea Tuzo ya Nobel ya Amani.
hata kumbukwa kwa mambo mengi kama kuhamasisha amani na mambo mengi.View attachment 2057935
Archbishop Desmond Tutu, Nobel Peace Prize laureate and veteran of South Africa’s struggle against white minority rule, has died aged 90.
“The passing of Archbishop Emeritus Desmond Tutu is another chapter of bereavement in our nation’s farewell to a generation of outstanding South Africans who have bequeathed us a liberated South Africa,” President Cyril Ramaphosa said on Sunday.
Una uhakika? Kama hawakuwa wachumia tumbo?Rip guy activistPole sana . Hawa ndiyo walikuwa mashujaa wa kweli Africa.
Siyo hawa wachumia tumbo wa kibongo wanaoona serikali zikinyanyasa watu wao wakiwa kimya.
Kitu cha msingi alipigania haki na usawa, hayo mengine iwapo unayapa umuhimu inategemea unaguswaje, kama uguswi nayo usiyape nafasi kichwani mwako! Usawa na haki inawagusa jamii kubwa!Lakini aliunga mkono ushoga na ndoa za jinsia moja,
Wewe unajuwa nini? Ungekuwa unajuwa japo robo tu ungejuwa Mandela siyo Mzulu wala Bishop Desmond Tutu siyo Mzulu pia.Ujui kitu
Amwambie anamsalimia na Nani? Na uhakika kwamba watakutana?Amsalimie Nyerere
Andika kiswahili, kingereza hujui.Huyu mtu alikuwa kibaraka wa wazungu na mwanaharakati wa haki za mashoga! Rip guy activist
Apunzike kwa Amani Baba Askofu MkuuDesmond Mpilo Tutu ni Askofu mkuu wa Kanisa Anglikana nchini Afrika Kusini. Ilivyofika mwaka wa 1984 alipokea Tuzo ya Nobel ya Amani.
hata kumbukwa kwa mambo mengi kama kuhamasisha amani na mambo mengi.View attachment 2057935
Archbishop Desmond Tutu, Nobel Peace Prize laureate and veteran of South Africa’s struggle against white minority rule, has died aged 90.
“The passing of Archbishop Emeritus Desmond Tutu is another chapter of bereavement in our nation’s farewell to a generation of outstanding South Africans who have bequeathed us a liberated South Africa,” President Cyril Ramaphosa said on Sunday.
Again we ni msenge tuAsanta.[emoji120][emoji120]