TANZIA Askofu Desmond Tutu afariki kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 90

Muadhama Profesa Emeritus Askofu Mkuu Dkt. Desmond Mpilo Tutu wa Afrika Kusini amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90! Askofu Mkuu Desmond Tutu alikuwa ni Askofu Mkuu wa Jimbo la Capetown na Mkuu wa Kanisa Anglikana Kusini mwa Afrika wakati wa utawala wa Ubaguzi wa Rangi nchini Afrika Kusini. Huyo ndiye aliyekuwa nguvu ya kimaadili katika mapambano ya ha haki na pia sauti ya Kanisa na dhamiri ya Mungu nchini Afrika Kusini wakati wa miaka ya giza!

Askofu Mkuu Tutu Atakumbukwa kwa jinsi alivyohatarisha maisha yake katika kutetea haki na kupambana na Mfumo wa Ubaguzi wa Rangi (Apartheid). Yeye hakuona aibu na wala hakuogopa hatari ya kuongozana na wapigania Uhuru wa Afrika Kusini wakati ule ambapo viongozi wengine wa Kanisa walikumbatia utawala wa kikandamizaji kwa maslahi binafsi. Atakumbukwa pia kwa ujasir wa kuongoza maandamano makubwa mjini Johannesburg!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
 
Kifo ni ukumbusho kwa walio hai,

Kuhusu ushoga wala sishangai kwa hao
Mbona hilo la kawaida sanaaa kwao
 
THE NOBEL PEACE PRIZE 1984

Bishop Desmond Tutu was born in 1931 in Klerksdorp, Transvaal. His father was a teacher, and he himself was educated at Johannesburg Bantu High School. After leaving school he trained first as a teacher at Pretoria Bantu Normal College and in 1954 he graduated from the University of South Africa. After three years as a high school teacher he began to study theology, being ordained as a priest in 1960. The years 1962-66 were devoted to further theological study in England leading up to a Master of Theology. From 1967 to 1972 he taught theology in South Africa before returning to England for three years as the assistant director of a theological institute in London. In 1975 he was appointed Dean of St. Mary’s Cathedral in Johannesburg, the first black to hold that position. From 1976 to 1978 he was Bishop of Lesotho, and in 1978 became the first black General Secretary of the South African Council of Churches. Tutu is an honorary doctor of a number of leading universities in the USA, Britain and Germany.

Desmond Tutu has formulated his objective as “a democratic and just society without racial divisions”, and has set forward the following points as minimum demands:

1. equal civil rights for all
2. the abolition of South Africa’s passport laws
3. a common system of education
4. the cessation of forced deportation from South Africa to the so-called “homelands”

The South African Council of Churches is a contact organization for the churches of South Africa and functions as a national committee for the World Council of Churches. The Boer churches have disassociated themselves from the organization as a result of the unambiguous stand it has made against apartheid. Around 80 percent of its members are black, and they now dominate the leading positions.
Source : The Nobel Peace Prize 1984
The response of the authorities has been an escalating intransigence and violence, the violence of police dogs, tear gas, detention without trial, exile, and even death
There is no peace in Southern Africa. There is no peace because there is no justice. There can be no real peace and security until there be first justice enjoyed by all the inhabitants of that beautiful land.

In Pics | Archbishop Desmond Tutu lived a full life​

BY SOWETANLIVE -26 December 2021 - 10:24



3 September 2015: FW de Klerk visiting fellow Nobel Peace Laureate Archbishop Emeritus Desmond Tutu in hospital.
Image: Benny Gool

Read more : In Pics | Archbishop Desmond Tutu lived a full life

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…