Askofu Shoo kasema Viongozi wote waliomba wamuone Rais kuhusu Mkataba wa Bandari na Rais akawapokea na kuwasikiliza na kubwa zaid akaahidi kuyashughulikia maombi yao na hoja yao kuu ilikuwa ni kuboresha Mkataba kwa kuondoa au kuongeza mambo yenye manufaa kwa Nchi, na mchakato na mjadala unaendelea kwa makundi mengine
Ghafla linatokea Kundi linajiona kubwa kuliko Serikali na kuanza kuja na vitisho sijui wanasomea wafuasi wao Waraka sijui usomwe kwny Ibada, sijui hawataki kabisa uwekezaji n.k so what?
This time watapata lesson kuwa Nchi ni kubwa kuliko vikundi vya kidini, kisiasa na kijamii
Lengo la kwanza kum frustrate Rais na Serikali tayari wameshindwa na nini kusomewa waraka hata kama wakitaka kuwasaidia kusambaza nakala za Waraka tutafanya hivyo cha msingi kila mtu kila kikundi kijue Tanzania ni kubwa zaid yao