Askofu Dkt. Fredrick Shoo asema Kanisa la Kilutheri lina imani na Rais Samia

Askofu Dkt. Fredrick Shoo asema Kanisa la Kilutheri lina imani na Rais Samia

Hawawezi mara ngapi …acha kukariri

Hakuna mwenye hatimiliki wala kura ya veto …acheni kujikuza sana kuliko uhalisia

Kama mna nguvu hiyo mnayojifaragua Jakaya asingemaliza miaka 10


Hata Wafuasi wenu wanajua sometime mnatumika kupitishia agenda binafsi na ndio sababu kila kukicha Makanisa binafsi yamachipuka kila Mtaa

Mwisho kabisa nakujulisha maeneo mengi Nchini hivi sasa kuna Mgogoro wa Ardhi kati ya ya kanisa na wakazi wa maeneo hayo na wengi ni Waumini wa kanisa hilo hilo

sasa hivi hakuna kujificha kwny kanisa, Msikiti, Chama au sinagogi kupitisha agenda binafsi
Umewaeleza vizuri washindwe kuelewa tuu
 
Askofu Shoo kasema Viongozi wote waliomba wamuone Rais kuhusu Mkataba wa Bandari na Rais akawapokea na kuwasikiliza na kubwa zaid akaahidi kuyashughulikia maombi yao na hoja yao kuu ilikuwa ni kuboresha Mkataba kwa kuondoa au kuongeza mambo yenye manufaa kwa Nchi, na mchakato na mjadala unaendelea kwa makundi mengine

Ghafla linatokea Kundi linajiona kubwa kuliko Serikali na kuanza kuja na vitisho sijui wanasomea wafuasi wao Waraka sijui usomwe kwny Ibada, sijui hawataki kabisa uwekezaji n.k so what?

This time watapata lesson kuwa Nchi ni kubwa kuliko vikundi vya kidini, kisiasa na kijamii

Lengo la kwanza kum frustrate Rais na Serikali tayari wameshindwa na nini kusomewa waraka hata kama wakitaka kuwasaidia kusambaza nakala za Waraka tutafanya hivyo cha msingi kila mtu kila kikundi kijue Tanzania ni kubwa zaid yao
Ni kubwa hata zaidi yenu
 
Uniumize kwani huu Waraka wa kwanza kutolewa ?

RC wako mbali sana wala si uongo, ila pia nawe usitudanganye kuwa ni wanasimamia Maslahi ya Nchi, Bank yao ya Ukombozi ndio ilikuwa uchochoro wa kupitisha Miamala ya Escrow na Maaskofu waliochonga huo Mchongo walilipwa na majina yakatoka

kwny Miradi ya Fedha wanazopokea toka Serikalini kuna Ufissdi wa kutisha hadi wahusika wamejirusha kwny maghorofa na kupoteza maisha kukimbia Scandle

kwmy Siasa za Kimataifa nakukumbusha tu wao ndio waliokuwa wakandarasi wa mauaji ya Kimbari Rwanda 1994

kwny Second World war sitaki kukuumiza roho kukutajia role yao kwny mauaji ya Wayahudi wakisaidiana na Wanazi

hapo sitaki kuhesabika nadhalilisha Taasisi yako pendwa nikikutajia kashfa zao kwny Unyanyasaji wa kingono kwa Watoto


Wewe una haki ya kuwaheshimu kwa kadri unavyowaheshimu nami nina wajibu wa kuwaheshimu kwa kuwa wanaheshimiwa na wale ninao waheshimu sana lakini msivuke mipaka mkawapa Uadilifu sijui uzalendo ambao hawana kwa historia yao na matendo yao.
Kwa maoni yako ule mkataba ambao serikali inauita makubaliano una mapungufu au hauna?
 
Hawawezi mara ngapi …acha kukariri

Hakuna mwenye hatimiliki wala kura ya veto …acheni kujikuza sana kuliko uhalisia

Kama mna nguvu hiyo mnayojifaragua Jakaya asingemaliza miaka 10


Hata Wafuasi wenu wanajua sometime mnatumika kupitishia agenda binafsi na ndio sababu kila kukicha Makanisa binafsi yamachipuka kila Mtaa

Mwisho kabisa nakujulisha maeneo mengi Nchini hivi sasa kuna Mgogoro wa Ardhi kati ya ya kanisa na wakazi wa maeneo hayo na wengi ni Waumini wa kanisa hilo hilo

sasa hivi hakuna kujificha kwny kanisa, Msikiti, Chama au sinagogi kupitisha agenda binafsi
Kwani baada ya waumini wote kusomewa kwa wiki 6 na kuufahamu kwa undani huo waraka, then, nini kitatokea!?
 
 
Hii nchi kweli safari bado ndefu sana. Kwahiyo ndugu wewe unaridhika kabisa na mkataba wa DPW Vs Tz?
Hakuna anayepinga uwekezaji TPA,watu wanapinga mkataba uliopo. Watu wengine mnawezaje kuuona uko sawa lakini?
Achana nae Mkuu..huyu ni mtu muelewa vizuri ila kuna kitu kipo nyuma yake mdio maana anawaka....
Ndio maana tunasema kama mmekula hela za watu rudisheni....
 
Hii nchi kweli safari bado ndefu sana. Kwahiyo ndugu wewe unaridhika kabisa na mkataba wa DPW Vs Tz?
Hakuna anayepinga uwekezaji TPA,watu wanapinga mkataba uliopo. Watu wengine mnawezaje kuuona uko sawa lakini?
Wewe unasemaje hakuna anaepinga uwekezaji wakati Waraka umesema wazi hautaki uwekezaji ?ai Wewe uliishia kusoma heading pekee

Halafu usiwe mshamba wa masuala ya kidemokrasia , Afya ya Taifa ni kuwa na mawazo tofauti, madhehebu yenyewe ya dini ni matokeo ya maoni tofauti sasa iweje uone wenzio hawajasoma au wajinga kwa kuwa tu Mtazamo wao unatofautiana na wako

Rais kakaa kimya ili tuzidi kujadiliana na kupata mawazo mengi zaid halafu kinatokea kikundi kinajipa jukumu la ku conclude eti Watanzania hawataki uawekezaji …nani kakupa mamlaka ya kusemea Watanzania …kama una hamu ya kuwasilisha basi sema kwa niaba ya waumini wako sio Watanzania
 
Askofu Shoo kasema Viongozi wote waliomba wamuone Rais kuhusu Mkataba wa Bandari na Rais akawapokea na kuwasikiliza na kubwa zaid akaahidi kuyashughulikia maombi yao na hoja yao kuu ilikuwa ni kuboresha Mkataba kwa kuondoa au kuongeza mambo yenye manufaa kwa Nchi, na mchakato na mjadala unaendelea kwa makundi mengine

Ghafla linatokea Kundi linajiona kubwa kuliko Serikali na kuanza kuja na vitisho sijui wanasomea wafuasi wao Waraka sijui usomwe kwny Ibada, sijui hawataki kabisa uwekezaji n.k so what?

This time watapata lesson kuwa Nchi ni kubwa kuliko vikundi vya kidini, kisiasa na kijamii

Lengo la kwanza kum frustrate Rais na Serikali tayari wameshindwa na nini kusomewa waraka hata kama wakitaka kuwasaidia kusambaza nakala za Waraka tutafanya hivyo cha msingi kila mtu kila kikundi kijue Tanzania ni kubwa zaid yao
Alafu eti wanapiga biti kuwa wao ndo wana watu wengi. Hawa jamaa sikudhanu kama ni wapuuzi kiasi hiki!!

Unaitisha Serikali??? Tena Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania???

Sasaivi ndo watajua kuwa wamevamia mtumbwi wa vibwengo!!
 
Hivi hizi kauli zinazitelewa na viongozi wa dini zinawakilisha waumini wote wa hilo kanisa sio?

Yaan viongozi wako wakitoa kauli kwa kusema "kanisa limesema..." inamaanisha kama muumini lazima uwe pamoja nao sio?
 
Wewe unasemaje hakuna anaepinga uwekezaji wakati Waraka umesema wazi hautaki uwekezaji ?ai Wewe uliishia kusoma heading pekee

Halafu usiwe mshamba wa masuala ya kidemokrasia , Afya ya Taifa ni kuwa na mawazo tofauti, madhehebu yenyewe ya dini ni matokeo ya maoni tofauti sasa iweje uone wenzio hawajasoma au wajinga kwa kuwa tu Mtazamo wao unatofautiana na wako
Weka ushahidi wapi wamesema wanapinga uwekezaji...
 
Back
Top Bottom