Askofu Dkt. Fredrick Shoo asema Kanisa la Kilutheri lina imani na Rais Samia

Askofu Dkt. Fredrick Shoo asema Kanisa la Kilutheri lina imani na Rais Samia

Wewe unasemaje hakuna anaepinga uwekezaji wakati Waraka umesema wazi hautaki uwekezaji ?ai Wewe uliishia kusoma heading pekee

Halafu usiwe mshamba wa masuala ya kidemokrasia , Afya ya Taifa ni kuwa na mawazo tofauti, madhehebu yenyewe ya dini ni matokeo ya maoni tofauti sasa iweje uone wenzio hawajasoma au wajinga kwa kuwa tu Mtazamo wao unatofautiana na wako

Rais kakaa kimya ili tuzidi kujadiliana na kupata mawazo mengi zaid halafu kinatokea kikundi kinajipa jukumu la ku conclude eti Watanzania hawataki uawekezaji …nani kakupa mamlaka ya kusemea Watanzania …kama una hamu ya kuwasilisha basi sema kwa niaba ya waumini wako sio Watanzania
😂😂😂😂😂sawa mkuu. Ila ukweli tuna safari ndefu sana kama Taifa. Inasikitisha.
 
MHESHIMIWA RAIS KANISA LIPO PAMOJA NAWE

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Fredrick Shoo amesema Kanisa hilo lina imani na Rais Samia Suluhu Hassan na kwamba litaendelea kusimama naye katika maombi na kumuunga mkono katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo.
Wakisifiwa, hakuna udini ila ukiwakosoa unashambuliwa kuwa mdini. Hao hao wanasema tusichanganye dini na siasa ndiyo wanahutubia kanisani kwa sababu ya vyeo vyao vya kisiasa.
 
Back
Top Bottom