Kwanini niwaulize wakati wao wametenda?, Napendekeza tufanye mojawapo kati ya haya matatu tunayo fanya siku zote, tutume wasio julikana wetu wamteke na kumpoteza Pompeo/Trump, tumfungulie Pompeo/Trump kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha au watuoneshe makaburi ya babu wa babu yao vinginevyo tuwafute uraia wa marekani na la ziada ni ku piga bann wasikanyage Tanzania. Sisi hatujaribiwi bwana, here...wasichezee awamu ya 6-1 bwana! .Waulize pia wao Guantanamo wanawafanya nini watuhumiwa wa ugaidi zaidi ya miaka kumi?
Eti Askofu.....hahahaha...aendelee na hao mbuzi wake....POMPEO ni issue nyingine kabisaAskofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.
Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.
Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Andhani issue Ni ushoga tu?Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.
Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.
Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Mimi sio kiongozi wangu...siwezi kuongozwa na mtu kama huyu mimi sio fala hata kidogo
Huyu naye hadi aue kama Mwamposa ndo Atapata akiliAskofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.
Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.
Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Sio kwamba imetaja ushoga.. Ni kwamba haijataja ushoga kabisa. Pitia hapaKwani taarifa ya Pompeo imetaja ushoga pekee.
Ndo tatizo la maaskofu kumiliki kadi za vyama vya siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida. Mna jenga hoja ya uongo kuhusu yaliyo semwa na Marekani kuhusu Makonda. Kama mmefuatilia ban ya huyo Makonda tatizo la ushoga wala halimo.Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.
Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.
Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Hawa maaskofu jambo linapohusu viongozi huwa wanaweka ubongo wao pembeni, kinachosemwa kingine na anachosema kingine wala havihusiani, na nyie wafuasi muwe mnawasahihisha wanapowadanganya msikae kama makinda ya ndege yanasubiri chakula toka kwa mama yao.Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.
Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.
Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Mimi huwa nawashangaa sana waumini wanaoongozwa na hao maaskofu, yaani wako kama mazezeta, hawawapingi au kuwahoji hao maaskofu kwa hizo kauli zao za kipuuzi.Hawa maaskofu jambo linapohusu viongozi huwa wanaweka ubongo wao pembeni, kinachosemwa kingine na anachosema kingine wala havihusiani, na nyie wafuasi muwe mnawasahihisha wanapowadanganya msikae kama makinda ya ndege yanasubiri chakula toka kwa mama yao.
πππ kama yulivyosema watanadilisha barua iwe ushoga mbona hamuongelei waliosema wenzetu hawana utamaduni wa siri kama ni ushoga wangesemaAskofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.
Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.
Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo