Askofu Gamanywa: Makonda yuko sahihi Ushoga umekatazwa kwenye Biblia, wananchi acheni kushabikia dhambi

Gamanywa amelisoma tamko la katazo la Makonda na kulielewa? Inamaana yale mengine hajayaona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa hapa
 

Attachments

  • 2195453_1572163557838.png
    233.6 KB · Views: 1
Gamanywa anajaribu kupindisha hoja za zuio la DAB kuingia Marekani, ushoga si miongoni mwa hoja hizo. Hebu aongee vizuri na mfuasi wake ili atubu dhambi zote. Anyway ndio maana hata kuna wakati naona na kusikia kinyaa baadhi ya watu wakijiita Askofu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mauaji na Utekaji watanzania wenzie ni poa ila usenge sio sawa. GWAJIMA hata kama unataka urudishwe kwenye viwanja vya kawe sio kihivyo.
Muogope Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…