johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Gamanywa amesema kuna watu wanamzushia kuwa yeye ni usalama wa taifa ila kiukweli yeye ni " usalama wa mbinguni"
Anasema yeye huwa habwabwaji kwa sababu yuko well informed na ndio sababu anawataka wampigie kura Rais Magufuli kwa sababu ni mtu mwenye hofu ya Mungu.
Askofu Gamanywa amesema amepokea vitisho kwamba atakiona cha mtemakuni lakini yeye haogopi chochote.
Gamanywa amesisitiza kuwa Rais Magufuli kuidhibiti Corona ni ishara kuwa Mungu wa mbinguni ameshamteuwa kuwa Kiongozi wa Tanzania na tarehe 28 utakuwa ni utaratibu wa kutekeleza matakwa ya kikatiba tu.
Uchaguzi huu ni kati ya Baraka na Laana tena ni kati ya Uzima na mauti hivyo watanzania chagueni baraka, chagueni uzima.
Amehitimisha askofu Gamanywa.
Source Shallom tv/ WAPO radio
Maendeleo hayana vyama!
Anasema yeye huwa habwabwaji kwa sababu yuko well informed na ndio sababu anawataka wampigie kura Rais Magufuli kwa sababu ni mtu mwenye hofu ya Mungu.
Askofu Gamanywa amesema amepokea vitisho kwamba atakiona cha mtemakuni lakini yeye haogopi chochote.
Gamanywa amesisitiza kuwa Rais Magufuli kuidhibiti Corona ni ishara kuwa Mungu wa mbinguni ameshamteuwa kuwa Kiongozi wa Tanzania na tarehe 28 utakuwa ni utaratibu wa kutekeleza matakwa ya kikatiba tu.
Uchaguzi huu ni kati ya Baraka na Laana tena ni kati ya Uzima na mauti hivyo watanzania chagueni baraka, chagueni uzima.
Amehitimisha askofu Gamanywa.
Source Shallom tv/ WAPO radio
Maendeleo hayana vyama!