Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ni njaa na unafiki mtupu.
Huyo askofu amegeuza madhabahu ya kanisa lake kuwa genge la kuipigia kampeni CCM. Ni mpiga dili fulani mzuri sana. Siku si nyingi nitaleta hapa uchafu wake.
Halafu mkimuona kwenye kile kikundi chao kinachojiita 'kamati ya amani' utamsikia akisema viongozi wa dini hawapaswi kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa.
Huyo askofu amegeuza madhabahu ya kanisa lake kuwa genge la kuipigia kampeni CCM. Ni mpiga dili fulani mzuri sana. Siku si nyingi nitaleta hapa uchafu wake.
Halafu mkimuona kwenye kile kikundi chao kinachojiita 'kamati ya amani' utamsikia akisema viongozi wa dini hawapaswi kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa.