johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
Muhaya na mkewe ni mchaga wa machame.Ni kabila gani?
Nabii wa familia za Lumumba...Askofu Gamanywa ni nabii!
Umeshapanic bila sababu!Nabii wa familia za Lumumba...
mungu wa BurigiCHADEMA ni laana na umauti, big up mtumishi wa mungu [emoji16][emoji23]
kwa uaskofu wake, yeyote anaweza kuwa askofu...Gamanywa ni askofu wa kanisa kama hutaki haulazimishwi meku!
Tukumbushe bwashee!Kwani Huyu anandimi ngapi?
Juzi tu hapa alisemaje kwa kiingereza?
Maskini jamani [emoji4][emoji4][emoji4]
Tukumbushe bwashee!