Uchaguzi 2020 Askofu Gamanywa: Mungu amemteua Rais Magufuli kuwa kiongozi wa Tanzania, uchaguzi ni utaratibu wa kikatiba tu!

Ni njaa na unafiki mtupu.
Huyo askofu amegeuza madhabahu ya kanisa lake kuwa genge la kuipigia kampeni CCM. Ni mpiga dili fulani mzuri sana. Siku si nyingi nitaleta hapa uchafu wake.

Halafu mkimuona kwenye kile kikundi chao kinachojiita 'kamati ya amani' utamsikia akisema viongozi wa dini hawapaswi kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa.
 
Huyu hajachanganya dini na siasa. mungu anayemuongelea siyo Mungu Mwenyezi, anamaanisha mungu wa Lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…