Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Amfifilo we!Tulieni sindano ziwaingie nyambafu!
Ogopa sana mtu anayezunguzia mtu badala ya vitu!!Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570
Ndio mjue mmepitisha shetani kugombea. Mtumishi gani wa Mungu anakuwa na maneno ya hivyo?
Dah🤔 Yani bado Kuna watu wanajisifia kuwahi kufika hapa dar...? Wanaoijenga dar ndio, hawahawa wakuja, wewe Basi lako ulilo panda kuja dar, huenda halifanyj kazi, Ila Ni mlala hoi, endapo tutaamua kukulinganisha nae😂😂😂.Acha mihemko ya siasa,ujue kabisa unapigania matumbo ya wenzako, Ohooo ..!😂😂😂Hata lile bus alilopanda kutoka koromomije bado linafanya kazi, yaani huyo kwa dar bado sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Lissu anavyofanya kwenye kampeni zake🤔?Ogopa sana mtu anayezunguzia mtu badala ya vitu!!
😂 We jamaa bn, ama kweli nyani haoni kundule, vipi zile mnazochangisha kwenye majukwaa yenu ya kampeni🤔?
Namuona tom-boy..,. Yuko vizuri .!Salute kwake Jembe View attachment 1559583
Porography ndo Nini mkuu🤔?Huyu siasa hazimafai, dini ndo taratibu imeanza kumkataa
Mahali anakofit ni porography tu
Sasa kwenye majukwaa ya siasa ni kanisani??😂 We jamaa bn, ama kweli nyani haoni kundule, vipi zile mnazochangisha kwenye majukwaa yenu ya kampeni🤔?
Ngoja Pascal Mayalla atusaidie kujibu hilo swali 🤣🤣🤣Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumchagua gwajinga awe mbunge wake
Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa yule Bi. Kidude wa Chadema ni halali yake na kazi ya kumshinda ataifanya law hakika.
Amemueleza Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu kuwa wasiwe na wasiwasi kwani ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya tu.
Ameyasema hayo akitoa neno katika mkutano wa Kampeni wa Makamu wa Rais, katika Uwanja wa Mwembeyanga Temeke.View attachment 1559570
Sasa kwenye majukwaa ya siasa ni kanisani??
Mataga huwa mnaacha wapi ubongo?
[/QUOTE
Sasa hela inayotolewa kanisani, na ile inayotolewa majukwaani zinautofauti gani katika matumizi🤔? Hela Ni hela tu, yeye anawapiga wafuasi wake kanisani, nyie makima mnapigwa kwenye majukwaa ya kisiasa😂, zote ni mbinu za utafutaji.
Acha kuwa bongo lala, utakuwa fursa ya watu kila siku.
Gwajinga na Mayalla wote tutawazika kwenye kaburi moja la futi 12 ili wasije kurujea ulimwenguniNgoja Pascal Mayalla atusaidie kujibu hilo swali 🤣🤣🤣
Hao ni wanawake Mami . Labda unawagwaya tu. Omba upewe heshima , umpereke Segese [emoji28][emoji23][emoji1787]Hakuna wa kupanic, huyu dada ana tabia mbaya sana. Nasikia mpaka huwa mnalia. We dude kama Esther huwa linalia.
sisi waislam tunampenda sana na hatuna shida nae, tunshida na ww kafir usiye mjua mwenyezi MunguBi Kidude alikuwa muislamu..hivi huyo nabii koko ana shida gani na waislamu