Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Hiyo nguvu mbona haikusaidia rafiki yake kipenzi asionsoke duniani? Au anajua tu kuangamiza hajui maombi ya kuokoa.
Nani alikuambia mtu kuondoka duniani ndio mwisho wa mambo yake yote? Hata Yesu na Muhammad walishaondoka duniani kitambo.
 
Hahhahaah utaambiwa sio mzalendo
 
Kwani huyo Amaleki katika nchi ni nani? Yaani wafutiwe usajili wao kwa sababu ya huyo Amaleki? What if huyo Amaleki ni wakala wa shetani hapa nchini?
Kama inaleta mgogoro si watu waulize sifa za amaleki kwa wanazuoni wa maandiko, halafu wachague kama amaleki wanamuhitaji nchi hii ama vipi, kwani tatizo lipo wapi,
Maombi kama hayo nchi hii makanisani yanapigwa kila siku , mifungo ipo kila siku, mikesha ya kuombea taifa ipo kila siku,
 
Pia tambua kwamba makanisa yanapaswa kujali ustawi wa watu wake kimwili (haki, uhuru na amani) maana bila hivyo kuhudumia roho itakua ngumu. Kwenye kutimiza hayo msisitizo umewekwa zaidi kuhudumia roho maana imeandikwa kamwe hatuwezi kutimiza tamaa za mwili na mwili hushinda na roho. Kuhusika kwa kanisa kwenye siasa ni katika kubalance mahitaji mwili na yale ya roho.
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri kuhusu hao waamaleki.

Ni watu waliowanyanyasa sana waisraeli mpaka waisraeli wakatamani wawafute kwenye uso wa dunia...swali la kujiuliza huyu AMALEKI anayemzungumzia Gwajima ni nani haswa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…