Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
So kesho tujongee ibadani.Apigweeeeeeeeeeeeee
Wenye mwili wote,waseme ameeee!!!!
Gwajiboy umetuokoa na JJ.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So kesho tujongee ibadani.Apigweeeeeeeeeeeeee
Wenye mwili wote,waseme ameeee!!!!
Gwajiboy umetuokoa na JJ.
Usilazimishe tafsiri yako ndiyo itumike. Muda mwingi ni upi na hizo siasa ni zipi za kupinga tu au na zile za kuunga mkono. Kuna madhehebu mpaka yanafikia kuita watawala ni wateule wa Mungu mbona hayo hupendekezi yafutwe?SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Wapi ameyatAmka hayo???Wapi panaposema Amaleki ni mtawala?
Bado Moshi unafuka "kweri kweri"! Wamegeukiana wenyewe kwa wenyewe sasa. Askofu Gwajima saa chache kabla ya kuhojiwa na Wana CCM wenzie ameamua kufunga 72hrs Ili kumng'oa Amaleki katika nchi....
Hii ngoma Bado mbichi sana, naomba popcorn [emoji897] hapo na juice bariidi.
View attachment 2048289
Mambo ya kiroho ya michongoMsiyachukue mambo ya kiroho yanayohubiriwa kanisani mkayaoeleka kwenye siasa.
Kuna wakati huwa hawapatani na wanakataa hata kuzikana.Ndugu wakigombana wahenga walituambia
SHIKA JEMBE UKALIME
Kwan muda wowote watapatana na wewe uliyeamulia utaonekana mnafiki kwakupendelea upande mmoja
Hiyo nguvu mbona haikusaidia rafiki yake kipenzi asionsoke duniani? Au anajua tu kuangamiza hajui maombi ya kuokoa.Ohoooo huyu jamaa c ndo alimfuta bashite kwny dunia ya siasa??? Msicheze nae
Hahahaaaa wewe una hatariiiiTuwaache hivyohivyo, hakuna kuamulia.
Laws reformations is a must for all religions institutionsUsilazimishe tafsiri yako ndiyo itumike. Muda mwingi ni upi na hizo siasa ni zipi za kupinga tu au na zile za kuunga mkono. Kuna madhehebu mpaka yanafikia kuita watawala ni wateule wa Mungu mbona hayo hupendekezi yafutwe?
Hahahhaa unajua maana ya hizo funga na fungua semi?Tumia neno KWELI badala yaKWERI
Katiba ya nchi inaruhusu uhuru wa kuabuduLaws reformations is a must for all religions institutions
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2048240
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Kwa hiyo huyu alieleta hii habari hapa ndio mpotoshaji. Maana yake hapa inatakiwa ulete habari iliyonyooka,sio kuanza kufumbua mafumbo,nani alisema hiki na yupi ni yupi. Mood futa huu uzi
Wewe ndiye unaonaka hujui kiroho wala siasa. Amalek ni nani? Siasa ni nini na kiroho ni kitu gani? If you don't kow, ask or else keep kimya. Hapa anapigwa Amalek!.Msiyachukue mambo ya kiroho yanayohubiriwa kanisani mkayaoeleka kwenye siasa.
kila kitu pasipo mipaka ni vuruguKatiba ya nchi inaruhusu uhuru wa kuabudu
(kiroboto vs wahuni) vs Amaleki'=£Kwahio Sasa Kuna Kiroboto vs Wahuni vs Amaleki
Gwajima ni zao la upinzani.Kuna msemo "wakitumaliza, wataparurana wenyewe". Sasa ngoma inogile.
Chuki iko wapi hapo??SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]