mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda Youtube uone vichekesho. Ameshageuka. Sasa hivi anasema masimamo wa Magufuli kwenye corona utafanya wamarekani wapange foleni kwenye ubalozi wa Tanzania huko kwao kwa nia ya kuomba visa za kuja kuishi Tanzania. Kwa kifupi amesema hakuna watanzania watakaokimbilia tena kwenda Ulaya na USA bali wao ndiyo watapigana vikumbo kuja kwetu.
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app