Askofu Gwajima: Mama Samia ni mtu mzuri sana, alinifungulia ofisi ya CCM niliyojenga Mbweni. Nitawashughulikia mbweha wanaomuhujumu!

mchawi kaloga wee sasa ANAJILOGA na yeye
 
umenena kijana.
 
Hamna upinzani TZ wewe jamaa, amka! Kungekuwa na upinzani TZ 2015 Jasusi aliyebobea asingepewa nafasi kugombea urais huko unakoita upinzani
 
Narudia tena Wapumbavu kama wewe ni janga kubwa la Taifa. Eti hamna upinzani Tanzania halafu unahofia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi!?
Hamna upinzani TZ wewe jamaa, amka! Kungekuwa na upinzani TZ 2015 Jasusi aliyebobea asingepewa nafasi kugombea urais huko unakoita upinzani
 
Narudia tena Wapumbavu kama wewe ni janga kubwa la Taifa. Eti hamna upinzani Tanzania halafu unahofia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi!?
Katiba mpya italetwa na CCM (CCM kama chama na vibaraka wake akina mbowe) muda ukifika, kwa sasa endeleeni kukata viuno mitandaoni
 
Kwa kuwa Babaako anakata viuno usidhani kila mtu anafanya huo upumbavu.
Katiba mpya italetwa na CCM (CCM kama chama na vibaraka wake akina mbowe) muda ukifika, kwa sasa endeleeni kukata viuno mitandaoni
 
Mbona editing🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa kuwa Babaako anakata viuno usidhani kila mtu anafanya huo upumbavu.
Hahaha, hao watu unawapigania wamekwa kwa mipango maalumu, matahira kama wewe ndiyo mnakomaa kutoa mapovu humu, CDM kimewekwa kwa mpango maalum, wewe endelea na hizo harakati zako za kifala, hata hujui kwa sasa Abubakar yupo wapi na anafanya nini, unajamba jamba tu hapa jukwaani
 
Ungekuwa una akili KAMWE usingepigia debe wahuni kama hawa. Wewe ni ZWAZWA TU usiyejitambua zaidi ya KUKENUA KENUA na kusifia hilo genge la wahuni, majizi, magaidi na wauaji maadui wakubwa wa Watanzania.

 
Tahira, leo hii Polepole ameshakuwa rafiki yako tena??!! Mtu mliyekuwa mnamtukana miezi kadhaa nyuma!! Guys kubalini mmeshazidiwa kete, hamna jipya kwa sasa! Hao watu wote mnaowategemea washakuwa compromised! Kwa taarifa yako sasa Abubakar hayupo mahabusu, mnachezewa akili nyinyi matahira
 
Wapi nilipoandika nina urafiki na huyo Chakubanga? Nakuonyesha ukweli aliousema hadharani lakini akashindwa kuufanyia kazi kwa sababu maccm yote ni majizi na majambazi. Hivyo maovu yao yote dhidi ya Watanzania wanakingiana kifua.
 
Juha mwenzio mwingine huyu hapa ZWAZWA.
 
Yale majani ya huko kyela nani kampa huyu mchunga kondoo wa Bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…