Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Kwa miaka 20 Chadema ni wapangaji na mnapokea ruzuku na bado mnadai mtailetea Nchi maendeleo,Waumini wake wanasali kwenye matope pale viwanja vya Mkanada Tegeta. Kwa miaka 20 ameshindwa kujenga kanisa kama Kakobe.
Halafu alinunua Chopa imezungushiwa utepe pale Airport yani haijwahi kutoka pale!
Labda ya kuzungumza kingereza kama anavyodai mgombea wenu lakini si wa mabomba ya mafuta na midege na SGR.