Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Umeongea la maana sana ila vichwa maji kamwe hawatakuja kuelewa ulichoandika.Ukiangalia PLANNING SYSTEM ya Tanzania ipo vizuri sana.
.
Yaani haimtaki kila RAIS aje na mipango yake au mambo yake.
.
Kila Planning kuna kitu kinaitwa INCREMENTAL PLANNING
.
Shida ya kuingiza siasa kwenye maendeleo ndio hii.
.
SHIDA YA KUIPA SIASA NAFASI KUBWA KULIKO UTENDAJI.