#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Yeye anawaaminisha wale misukule yake kuwa hakuna Corona bali kuna watu wanazusha uwepo wa Corona ili wapige hela kwenye chanjo.
 
Msikilizeni mpukutike wote
 
Ujinga unaoshika kasi ni wa kwako uliaminishwa kuwa wazungu wamekuletea chanjo ili wakumalize na unaamini wakati unatumia simu iliyotengenezwa na mzungu na unakunywa dawa zilizotengnenezwa na mzungu kila siku
Kachanjwe kesho
 

Kama unaamini kutatokea manabii wa uongo iweje usijue nguvu iliyonyuma ya chanjo? Je mungu wako ni kipofu au kiziwi kwamba asijue hila ya shetani nyuma ya hii chanjo?
 
mkuu..ebu fafanua kidogo hizo ajenda japo kwa kifupi, natamani kusikia neno kutoka kwako

tafadhali..
 
Gwajiboy achague kanisa au siasa, kama unataka kuwa mkweli genuine kabisa siasa sio mahala pake. Viongozi wake wa chama washamrushia bait, sasa utaona unafiki atakavyogeuka kula matapishi yake.
 
Ili uonekane umechanjwa unapita kwenye scanner maalum /entrance zote Duniani zitawekwa kifaa hicho,hivyo kutakuwa na ditector /screan somewhere ya kubaini.

Ili mfumo huo ufanye kazi ni lazima pawepo na very safe connection within vaccine.

Mfano 1/08/2021 utaratibu unaanza Ufaransa.
 
Kwakuwa hili ni jukwaa huru, naamini maoni yangu yataachwa bila kuunganishwa na machapisho mengine kwani hayafanani hata kidogo.
Mara baada ya Askofu Gwajima kuuliza maswali ya msingi juzi, nimeona viongozi wengi wamejitokeza kumjibu kana kwamba hana haki ya kutoa maoni. Kimsingi alichosema ndugu Gwajima kina logic sana tu, ila kwakuwa watu wengi wana tabia ya kuamini kila kinachotoka vinywani mwa wataamu basi wanamwona kama vile punguani.

Dr naomba usiyumbishwe, pia watanzania tusikimbilie chanjo, tutumie vyema uhuru tuliopewa kuchagua kuto chanjwa. Tena kama una umri chini ya miaka 45 sikushauri kabisa, sisemi kwamba chanjo ina tatizo, ila katika mambo kama haya nivema kuwatanguliza viherehere halafu unakaa nyuma.

Hebu fikiria kama chanjo hii itasababisha paipu ikalala baada ya miaka 5. Tafakari, chukua hatua. Wazungu wana chanjo zao sio hizi, Hii J&J marekani waliikataa, sisi tunapokea tu kama msaada. Anyway wazungu wanatupenda sana ndomaana walitutawala.

Nasubiri kwa hamu kusikia jinsi mwamba atakavyo jibu mapigo, waliomjibu waandae taulo.
 
Wapuuzi ndo wanampinga gwajima , hachanjwi mtu hapa, alaf walivyo wajinga unasaini kiapo , likikutokea la kutokea ukafie mbele huko , chanjo gani hyo ya kuwekeana kiapo kama hyo chanjo ni salama
 
Wapuuzi ndo wanampinga gwajima , hachanjwi mtu hapa, alaf walivyo wajinga unasaini kiapo , likikutokea la kutokea ukafie mbele huko , chanjo gani hyo ya kuwekeana kiapo kama hyo chanjo ni salama
Wanajua chanjo hazijahakikiwa na zinaweza kuwa na madhara makubwa huko mbeleni. Chanjo inayokwenda kukoroga DNA zako ili ziufanye mwili kupambana na kirusi kimoja uliwahi kuiona wapi? Ndiyo maana wanakutaka usaini kabisa kiapo cha kukubaliana endapo mambo yakikugeuka basi we nenda kafie mbele tu hakuna kuwashitaki.

Ni kweli, wale walio chini ya 45 wanapaswa kufikiri sana na kwa makini kabla hawajaamua kuchanjwa. Na wale ambao wanatarajia kuzaa nao wafikirie sana. DNA zao zikiwa zimepinduliwa na chanjo, je watazaa watoto wa aina gani? Wasije wakazaa misukule yenye vichwa kama kirusi cha korona.
 
Kama wanavyopiga chepuo madalili juu ya Chanjo na sisi tunaopiga Chanjo tuachwe wasitutishe hauwezi kusifia matumizi ya Condom then ukachukia ngono
 
Chanjo hii ya Corona inasababisha kukoma/kutopata hedhi wanawake na wajawazito huwasababishia kifafa cha mimba.

Ushahidi upo, naupload report kutoka Philadelphia medical laboratory (Treatment Research Institute) ina goma.

Take care please.
 
Zamani nilikuwa najua Mtu akijiita Jasusi ( Njagu ) basi anakuwa ni Mtu 'very Intelligent' kumbe siku hizi tuna wanaojiita Majasusi ( Manjagu ) ambao si tu ni 'very Foolish' bali pia Wana Ugonjwa wa Akili na huenda walitakiwa wawe wameshawahi Vitanda vyao katika Wodi ( Ward ) ya 'Vichaa' ama ya Mkoani Dodoma au Tanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…