#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

CHADEMA hata siku moja hawawezi kuishauri serikali jambo kwa nia njema, siku zote wanaiombea nchi mabaya ili CCM iumbuke. Badala ya kuishaurli serikali
iendelee kuhakikisha amani ya nchi haivunjwi ili nchi iweze kufanya shughuli za maendeleo wao wanataka kuichonganisha na wananchi ili tu kufuta legacy ya JPM.
 
Huyu ni mtu wa kuonewa huruma na kuombewa.

Amandla...
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
Na huko ndo wanastahili...sis wafanya biashara hatutak vurugu kabisaaa
 
Wanajeshi na polisi kwake ni muhimu maana ndio wanalinda utawala wa ccm. Hata hao waumini wake ni vilaza ndio maana anawahubiria huo upotoshaji. Huyu ndio mmoja wa waliokuwa washauri wa Magufuli, hadi kikajengwa kibanda cha kujifukiza hapo Muhimbili hospitali.
 
..sasa kwanini Gwajima anasema wananchi tuchanjwe halafu wanausalama wasichanjwe?
Tumeambiwa chanjo ni hiari. Asilazimishwe kuchanjwa mtu kwa visingizio vya kuwa mstari wa mbele.

Nafikiri ndicho amaanishacho Gwajima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu unafiki ni wa kiwango cha lami!

Kipindi kile mnawahi kukaa siti za mbela kanisani kwake ili kusikiliza ubuyu wa Bashite lilikuwa neno la Mungu lile?

..sasa hivi Gwajima ni mbunge hivyo hana sababu au kisingizio cha kufanya siasa kanisani.
 
Nia ya Chadema ni kuiondoa CCM madarakani kwa sababu inaamini kuwa wao wanaweza kulitendea haki taifa letu kuliko CCM. Kuumbuka kwa CCM ndio lengo lao. Lakini wao hawana jeshi lolote na silaha pekee waliyokuwa nayo ni hoja. Hamna siku nimesikia wafuasi wake wakiwashambulia CCM kwa silaha au wakiwazuia kufanya mikutano. On the contrary kuna picha humu zikionyesha wafuasi wa CCM wakimpiga matofali mfuasi wa CDM. Kuna matukio kibao ambapo vyombo vya usalama vimewazuia kufanya kile ambacho wao kama raia wa nchi hii wana haki ya kufanya. Mara ngapi tumeshuhudia bendera zao zikishushwa bila hatua yeyote kuchukuliwa dhidi ya wanaofanya hivyo? Halafu leo, bila aibu unawatuhumu kwa kuvunja amani katika nchi yetu? Leo, siku ambayo wafuasi wao wamezuiwa kuabudu katika makanisa ambayo kila siku wanawakaribisha watawala kuhutubia kutoka kwenye madhbahu? Acheni unafik.

Amandla....
 
Kuna scientific reasoning behind! Ila akina gwajima hayawezi kuliona hilo
ITAPENDEZA ukatwambia jamii ya JF hizo "scientific reasoning behind" asizozijua gwajima, ili tufanye maamuzi yenye ufahamu (informed decision).
 
Tumeambiwa chanjo ni hiari. Asilazimishwe kuchanjwa mtu kwa visingizio vya kuwa mstari wa mbele.

Nafikiri ndicho amaanishacho Gwajima.
Hatimaye chanjo imeingia. Washamba sana sukuma gang
 
Hakuna kuchanjwa na hatuitaji hiyo chanjo huyo aliyeikubali achanjwe yeye.
Baba Askofu Gwajima upo sahihi kabisa na sisi tunakusaport mzee Baba
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
Poinless and shortsighted
 
Nchi ikijaa wajinga, chochote utakachosema lazima utapata wafuasi......
 
Huwa wanajeshi wanatumika wachache tu Kwa ajili ya majaribio na sio wote.

Sasa mamlaka waangalie namna wanafanya ,

Isiwe wote ila Wachache tu Kwa ajili ya kuangalia uelekeo wakee.
🤣🤣🤣, colateral damage sio? Ujinga. Kama chanjo zina walakini zisitumike.
 
Kunilazimisha nichanje kwa nguvu sio kuvuruga amani?

Una hakika gani CHADEMA ndio wanajua kuliko raia wote wa nchi hii? Kama nyinyi CHADEMA mnadhani mnayo justification ya kulazimisha watu kuchanja vile vile na CCM nao wanayo justification ya kulazimisha amani ya nchi hii isivunjwe.
 
Tufafanulie hiyo scientific reasoning.
Kwa kweli wafuasi wa Chadema huwaga siwaelewagi reasoning capacity Yao yaani unakuta mtu anatoa argument ya akili kubwa kabisa ihusuyo mambo ya kisayansi kama aliyotoa Gwajima bungeni halafu anatokea mtu anamwita Gwajima hopeless sijui humu JF tunachati na akina Mdude Chadema yaani mm inanipa wakati mgumu kabisa hivi chadema inatengeneza watu wa Aina gani kwa mustakabali wa Taifa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…