greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Nje ya mada kidogo, hivi lissu kule ugaibuni amechanjwa ? kama ndio mbona hatujaona picha zake kama wakina hamisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kutoa neno kuhusu siasa. Leo hii nina neno. Hili la Josephat Gwajima ni mundelezo wa Sukuma Ngang kuliyumbisha taifa na kumuyumbisha Mh. Rais wa JMT. Kwa hili na simama na serikali yangu. Vyombo vya ulinzi na salama mkiliacha hili lipite hivi hivi itakuwa sawa na hujuma kwa serikali.Ni hali ya hatari kubwa kwa ugonjwa huu unaouwa (ambalo ni tatizo la kisayansi) unapoachwa kufanyiwa siasa au mzaha.
Ni hatari zaidi hali hiyo inapoachwa kuendelea, wakati serikali iliyo na dhamana ya kutulinda, ikiwa imechagua kuwa kama mpenzi mtazamaji tu.
View attachment 1868361
Haiingii akilini ni vipi serikali kutumia nguvu kwenye kongamano la Chadema kwa sababu za kudhihibiti Corona lakini si huyu anayehamasisha watu kutochukua tahadhari!
Kwa mwendo huu wa kuzikumbatia siasa uchwara zenye kuweka maslahi binafsi mbele tungali na safari ndefu sana.
-------
My take:
Uzi huu chini unaihusu sana serikali kwa sasa na hasa mheshimiwa SSH:
#COVID19 - Mawaziri waachie Ngazi kutoa Nafasi kwa Mwanzo Mpya
Itakuwa kujidanganya kama taifa kudhani kuwa tuko vizuri. Matumaini mapya yaliyoibuka baada ya SSH kuchukua nchi yamekwisha baada ya siku 100 ofisini. Kama taifa tunayumba tokea kwenye corona hadi kwenye mustakabala kama taifa. Taifa limegawanyika hisia kali na munkari juu: 1. Kuhusiana na...www.jamiiforums.com
Una kiwango gani cha elimu?Sawa covid ipo, na variants zake and whatever waves we are expecting in the future, hata lije wimbi la 40, ni hivi tutahimiza watu wasichanjwe... hawa watu wametengeneza tatizo ku create fear ili wachome watu masindano(chanjo) bila kuwa na uhakika na content ya hizo chanjo? Kachome wewe na familia yako... wanaopinga sio wajinga kama unavyofikiri, we are well informed and we know exactly what is goin on huko duniani... Tumesoma na kujifunza mambo mengi sana kuhusu hizi chanjo. Wajinga pekee ndio watachoma hizo chanjo.
Yesu asili yake wapi?Hamna wa kulia ndugu, Yesu yupo pamoja nasi!! Aliyetuvusha 2020 atakuwa na sisi pia
Hapo usinidanganye kuwema wamechanjwa take care ndg.
Umeshasema hatuwezi kuwafikia na sisi as afrikan hatujawai toa mchango wowote, (labda) BUT...
Iyo chanjo kama ina madhara unadhani vile vichupa is serious vina kile kimiminika chenyewe cha k8nga ya covid?.
Wale jamaa ni great thinker na wanatumia akili sana, so usione wanadungana masindano ukadhani ni kinga ya corona NO!.
Asili yake yeye ni MunguYesu asili yake wapi?
Mbowe anataka tulazimishwe tupigwe chanjoNani kakulazimisha upigwe chanjo? Kama unataka sindano takoni wew sema tu utapigwa bila tatizo
Chanjo asili yake wapiAsili yake yeye ni Mungu
Una kiwango gani cha elimu?
Chanjo ya corona asili yake ni shetaniChanjo asili yake wapi
Una kiwango gani cha elimu ? . ukipewa kazi ya kutathimi kwa wewe ambaye hutachanjwa ndani ya miaka 5 Ijayo utakuwa katika sehemu gani ya kukubalika au kukataliwa kupata huduma yeyote ndani ya Tanzania au nje ya Tanzania. Mfano mdogo tu kusajili kadi ya simu bila kitambulisho cha Taifa au kusafiri bila kadi ya manjano?Mbowe anataka tulazimishwe tupigwe chanjo
wote kuwe hakuna hiari na kuna watu humu pia wanataka chanjo iwe lazima.
Corona si imeingia toka mwaka jana, acha kila mtu aishi maisha yake we ukiona vp usitoke kabisa nje ili uwe salama zaidi.Corona imeingia wacha kukata kiuno kwa usalama wako.
Wewe unafikiri hivyo vyitu ni mhimu kuliko uhai wako????Una kiwango gani cha elimu ? . ukipewa kazi ya kutathimi kwa wewe ambaye hutachanjwa ndani ya miaka 5 Ijayo utakuwa katika sehemu gani ya kukubalika au kukataliwa kupata huduma yeyote ndani ya Tanzania au nje ya Tanzania. Mfano mdogo tu kusajili kadi ya simu bila kitambulisho cha Taifa au kusafiri bila kadi ya manjano?
Mungu unayemuamini wewe ni tofauti na wa wengine?, kwani kumuanini mungu kunahitaji akili zipi na kukataa chanjo ni kutumia nini?.Hapo sio swala la Elimu, ni swala la kutumia akili ulizopewa na Mungu
Kinadharia hilo linawezekana ila hawa Watanzania siyo wa kuikabili serikali na vyombo vyake. DNA yetu haina ujasiri huo hata watufanyie nini. Huo ndiyo ukweli, sorry!Pamoja na yote, tumepoteana zaidi tokea awamu ile. Tulipo ni kama tumemwagiwa petroli. Akitokea mvuta sigara na moto wake karibu inaweza kuwa hatari kubwa.
Walioko madarakani walikuwa na dhamana kubwa ya kuiondoa hali hii wala si kuipalilia.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Hiyo ni hoja dhaifu, kumbuka hata shetani anamwamini Mungu, hivyo yawezekana kabisa Mungu wangu ni tofauti na wako ndo maana hata mawazo tunapingana kwenye hili!!!Mungu unayemuamini wewe ni tofauti na wa wengine?, kwani kumuanini mungu kunahitaji akili zipi na kukataa chanjo ni kutumia nini?.
Huoni aibu kahisa kutumia maandiko ya dini iliyeletwa na haohao walioleta chanjoChanjo ya corona asili yake ni shetani
Kujua mema na mabaya na kuacha mabaya na kutenda mema, hiyo tu ni akili ya mtu anayemjua Mungu, ni mtu asiye na akili ndo anaamini kwenye barakoa na chanjo!!Mungu unayemuamini wewe ni tofauti na wa wengine?, kwani kumuanini mungu kunahitaji akili zipi na kukataa chanjo ni kutumia nini?.
Well educated than your entire family. Nenda telegram ka join group linaitwa LA QUINTA COLUMNA utapata information kibao kuhusiana na hizo chanjo...na sio group la waswahili ni hao hao wazungu mnao waamini na kuwaabudu.Una kiwango gani cha elimu?
Unamjua shetani au umepokea mapokeo ya maandiko bila kujua wewe asili yako ni wapi?Hiyo ni hoja dhaifu, kumbuka hata shetani anamwamini Mungu, hivyo yawezekana kabisa Mungu wangu ni tofauti na wako ndo maana hata mawazo tunapingana kwenye hili!!!