Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Mimi ni mwana CCM damu, hapa nasema tena nasisitiza, Halima Mdee akimshinda Gwajima, nitafanya karamu Kawe, nitatoa ng'ombe wawili junia na mchele tena wa basmati, gharama ya mapishi. Yote hayo kwa furaha ya huyu mchawi na mshirikina akipigwa chini. Nina washawishi watanzania wote wa Kawe wampigie kura Halima au mbunge yoyote mwengine isipokuwa Gwajima, nazidi kushauri apigiwe Halima kwa sababu kura zikitawanyika Gwajima anaweza shinda.
 
Ahache unafiki wake, uyu nguruwe pori kaahidi kuigeuza misikiti yetu mitukufu kuwa sunday school.

Kwa wakristo wanaopenda amani kwa vyovyote wamechukizwa na mpango wake huo na watamnyima kura ila kwa mwislam atakayempigia kura Naamini Laaaana ya Allah lazima imfike yeye na uzao wake inshallah.
 
Mimi nasema asipigiwe kura mtu yoyote kigeugeu ambaye yuko tayari kufanya lolote apate anachotaka ni bora mumpigie kura mtu hata kama kuna mambo hamkubaliani naye lakini amekuwa anasisimama katika yale anayoamini, watu mpaka wanataka kubadili dini? mbona hawa watu wanataka kuleta udini hata kama unaitwa Mohd ndio iweje?

Kwa kweli miaka hii mitano tumeanza kuona hii migawanyiko kila siku na viongozi sababu ndio wanashabikia yanazidi kukua hii ni hatari ni lazima wapigwe stop huko tunakoenda sio salama. Nadhani viongozi waanze hakuna tena viongozi wa dini kwenda katika kuomba du'a katika mikutano ya kisiasa hata shughuli za kiserikali marufuku, kila mtu ataomba katika nyumba zao za ibada na mbaya zaidi du'a zenyewe kama kumdhihaki Mungu tu hakuna uhalisia. Naomba viongozi wasikie hili viongozi wa dini hawatakiwi katika mikutano yoyote katika uchaguzi na baada.
 
Kuna stori moja pengine ushawahi kuisikia.

Jambazi alivamia nyumba moja akawakuta wanandoa wapo sebuleni baada ya kuiba na kutaka kuondoka akamuuliza mke;

Jambazi: Unaitwa nani?

Mke: Naitwa Asha.

Jambazi: Una bahati una jina kama la mama yangu wewe siwezi kukuua.

Akamgeukia mume.

Jambazi: Unaitwa nani?

Mume: Naitwa Athman ila kazini wamezoea kuniita Asha kama jina la mama yako.
 
Ikitokea mbunge wa Kawe anapaswa kuwa mwanamke tu, Gwajima atasema aliwahi kuwa mwanamke na anawafahamu vema wanawake.

Hii ndo kile anaita ‘hunger for greatness', yupo tayari kuwa 'yeyote' ilimradi kutimiza njaa yake.
 
Ninapomsikiliza huyu jamaa najiuliza maswali mengi Sana aliwezaje kuteka akili za waumini wake na wakamuamini. Kwa akili ndogo tu unagundua huyu jamaa kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi muamini.Nimshauri tu aache kasumba majina ni utamaduni Sio dini.
Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom