LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
wagombeaji uongozi wa chadema hawakua na sifa wala vigezo vya uongozi kikatiba.

kuenguliwa ilikua ndiyo haki na stahiki yao ya msingi kabisa.

Lazima muwe wastaarabu na wangwana kukubali matokeo ndrugu zango πŸ’
Sema hawakuwa na vigezo kwa kufuata ILANI YA CCM, siyo KATIBA.
 
2020 huyo mnafiki alikuwa bado hajazaliwa? Magu alivyokuwa anaua alijitokeza kusema lolote? Hao maaskofu wote ni km Policap Pengo, hawaonagi hata aibu. Huwa nawadharau sana, wanajaribu kuleta uchochezi kwa kuokoteza vitakataka.
Are serious? Kwamba Askofu niwemugizi anaporwa hati ya kusafiria haikua utawala wa Magufuli? Na kwamba padre anapigwa risasi Zanzibar haukua utawala wa Kikwete na Nyaraka za TEC wakati wa Kwaresima haukua utawala wa Magufuli! Ujinga mtaacha lini?
 
Hao mashetani ht hawamjui huyo Mungu unayemzungumzia wewe.
Ni kweli, lakini hatuoni wakifanya unyama unaofanywa na ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola. Maaskofu wametimiza wajibu wao wa kuonya. Msitegemee ccm mtaendelea kufanya uovu ndani ya nchi hii ili mtawale kwa shuruti, kisha watu wote wakae kimya. Upuuzi mnaofanya na kuona ni kawaida kila mtu anauona.

Nchi hii haitaharibiwa kwa uovu wa ccm, bali itaharibiwa kwa watu wema kukalia kimya uovu wa wazi kiasi hiki unaofanywa na ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola.
 
Tunawaambia kila siku chadema ni chama cha wakristo, haya sasa wakatoliki haooooo
NB:
Ukinijibu jibu kwa hoja sio mihemko
Ukitukana, nitakutukana mara mbili
 
Sema hawakuwa na vigezo kwa kufuata ILANI YA CCM, siyo KATIBA.
ni vya kikatiba gentleman,

we fomu ya kugombea imefutwa futwa kama mtihani wa kubia majibu kwa jirani bana?

mwaka wa kuzaliwa umefutwa mara 7 haijulikani huyo mtu kazaliwa miaka yote hiyo au kusudi?

inasikitisha sana aise πŸ’
 
Tupo hapa tutaona.......wanaenda kufeli kama walivyofeli kule DRC kwa Tshisekedi ,,DRC ina wakatoliki wengi kuliko Tanzania ila hao vibaraka wa papa walitulizwa
 
ni vya kikatiba gentleman,

we fomu ya kugombea imefutwa futwa kama mtihani wa kubia majibu kwa jirani bana?

mwaka wa kuzaliwa umefutwa mara 7 haijulikani huyo mtu kazaliwa miaka yote hiyo au kusudi?

inasikitisha sana aise πŸ’
CCM ni Majizi sana, ukienda Nida unajaziwa taarifa au unajijazia?
Kwanini hao wasimamizi wasingewajazia kama hilo ni tatizo?
Mbona kupiga kura ccm walikuwa wakiwajazia wapiga kura karatasi za kupigia kura? Tena siyo moja 10 hadi 20 mpiga kura mmoja.
Kweli nchi inawenyewe.
 
Gentleman,
dawa ya mchochezi ni kumpuuza tu kwa dharau inatosha.

Hata hivyo,
Nyumbu pamoja na ukurupukaji wake wote huishia mdomoni mwa simba au mamba na matokeo yake hasara anapata yeye mwenyewe, dah πŸ’
 
Wanawachana kila jpili, na waamini wengine wako vyama vya siasa.
Wakati nipo seminary hawa huwa wamenyooka na uhawana kona, utachanwa live bila chenga all day.
So ni kawaida , na ni kawaida kwa wakatoliki wote wanaonda kanisani
hiyo nakubali gentleman,
lakini unachana halafu huonyeshi njia unaona aibu na kuogopa, hiyo si useless kabisa.

na huko makanisani si wamo wanachama wa vyama vyote au ni chadema pekeyake?πŸ’
 
Kinachonisikitisha ni kuwa hao wanaopanga na wanaotekeleza viendo viovu nao hujiita waumini. Hawafahamu kuwa wanajichumia laana wao na watoto wao. Waendelee tu!
 

..UV-Ccm ni wajinga sana.

..hawajui kwamba genocide ya Rwanda ilikuwa ni mpango wa serikali na chama tawala cha wakati huo.

..Na watekelezaji, genge la Interahamwe, walikuwa umoja wa vijana wa chama tawala.
 
acha upotoshaji gentleman,

waTanzania wote wana Imani na CCM pekee nchi hii.
Huo ushirikiana hauwezi kufanywa na CCM gentleman.

kusaidiwa kupiga kura kwa wazee, walemavu na wenye uoni hafifu inaruhusiwa kikatiba, na kwahivyo sio kosa kisheria.

Masuala ya NIDA ni tofauti na uchaguzi gentleman, usichanganye tafadhali πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…