Haha chama cha mashetaniacha upotoshaji gentleman,
waTanzania wote wana Imani na CCM pekee nchi hii.
Huo ushirikiana hauwezi kufanywa na CCM gentleman.
kusaidiwa kupiga kura kwa wazee, walemavu na wenye uoni hafifu inaruhusiwa kikatiba, na kwahivyo sio kosa kisheria.
Masuala ya NIDA ni tofauti na uchaguzi gentleman, usichanganye tafadhali π
Siasa na Dini zote Zina lengo lakumletea binadamu uzuri wa maisha hapa duniani na hapo baadaye. Hivipingani vinakamilishana.Naunga mkono tamko la Baba Askofu Juda Thadeus Ruwa'ichi ila halikupaswa kuharakishwa haraka hiviοΌοΌtamko lingesubiri matokeo ya uchaguzi yatangazwe rasmiοΌili tamko pia lihusishe comments kuhusu uchaguzi na kuwapongeza the majority winners as well as the minority winners.
Niliwahi kuulizaοΌkwanini kila rais wa Tanzania anapokuwa Mkristo ni lazima awe MkatolikiοΌοΌsikuwahi kujibiwaοΌkuna baadhi wakasema inatokea tuu by a coincidenceοΌοΌsasa kipindi nchi ikiwa chini ya MkatolikiοΌTECοΌhawawi wakali sana kama nchi ikiwa chini ya wa upande wa piliοΌγ
Pia nipongeze tamko hili limetolewa kwenye press conferenceοΌna sio mimbarini ili kuepuka kuchanganya dini na siasaγMpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
Kilichozungumzwa hapo kinahusiana vipi na uchochezi mkuu?Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Tunawaambia kila siku chadema ni chama cha wakristo, haya sasa wakatoliki haooooo
NB:
Ukinijibu jibu kwa hoja sio mihemko
Ukitukana, nitakutukana mara mbili
Ipo siku mtajuta sana, hamtatamba milelewaleta fujo kwenye uchaguzi wa amani ndio hasa yafaa walaaniwe gentleman, na si vinginevyo kwa hatua hii π
Samahani.Hivi nawezaje kujiunga na Kanisa Katoliki kutoka huku Moravian?
Sure mkuumy friend,
hii siasa ni kujipanga tu, vinginevyo utapangwa mbaya sana π
Kwa taarifa yako bila hao maaakofu, bado Kabila angeendelea kuwa rais wa DRC kwa shuruti. Ni maaskofu waliosimama kidete kuhakikisha anatoka madarakani. Ccm inatambia uhalifu kukaa madarakani, na wanakaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya dola. Ni juu ya jeshi kukata huu ushirikiano unaoilinda ccm kukaa madarakani kihalifu.Tupo hapa tutaona.......wanaenda kufeli kama walivyofeli kule DRC kwa Tshisekedi ,,DRC ina wakatoliki wengi kuliko Tanzania ila hao vibaraka wa papa walitulizwa
Uhalifu si siasa, kama uhalifu ndio siasa ni haki kwa wengine kuingia msituni kufanya hizo siasa mnazotambia.my friend,
hii siasa ni kujipanga tu, vinginevyo utapangwa mbaya sana π
Kwasababu walikua na sapoti pia ya wananchi,,,,ila bila hivyo hawana hizo nguvu ambazo huku wengi wanafikiri hao jamaa wanazoKwa taarifa yako bila hao maaakofu, bado Kabila angeendelea kuwa rais wa DRC kwa shuruti. Ni maaskofu waliosimama kidete kuhakikisha anatoka madarakani. Ccm inatambia uhalifu kukaa madarakani, na wanakaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya dola. Ni juu ya jeshi kukata huu ushirikiano unaoilinda ccm kukaa madarakani kihalifu.
Kwani hapa wataikosa? Kama ccm wanakaa madarakani kwa support ya vyombo vya dola unategemea hao maaskofu wakose support ya wananchi hapa kwetu?Kwasababu walikua na sapoti pia ya wananchi,,,,ila bila hivyo hawana hizo nguvu ambazo huku wengi wanafikiri hao jamaa wanazoView attachment 3164487View attachment 3164488
Walijifanya kususa ila baadae wakaamua yaishe
πππππPata bwana mkatoliki akuoe.
Alipewa milioni kumi za " Happy Birthday"; wakidhani ndio kumnunua hivyo.Kwani Yeye hakupata mgawo wa zile billion za Samia?
HawakutakiHivi nawezaje kujiunga na Kanisa Katoliki kutoka huku Moravian?
Ulikuwa naye hapo jijini, na unaelewa alivyo kubalika hapo, labda uwe ulikuwa bado hujazaliwa.Huyu nayeee, mfyuuuu!
kaa kimya wew hujapiga hata kura,Uhalifu si siasa, kama uhalifu ndio siasa ni haki kwa wengine kuingia msituni kufanya hizo siasa mnazotambia.
HICHO NDICHO UFIKIRIACHOChawa wa ufipa ktk ubora wake
wa milele ni ni Mungu pekeyake gentleman,Ipo siku mtajuta sana, hamtatamba milele