Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walilifahamu hilo walipopendekeza jina 2015.Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Mpaka sheikh ponda.Kwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?
Chadema ni chama cha Kikristo?
Kuhudumia wananchi mbumbumbu na hoya hoya huku akiwatia adabu wote wasio tayari kuburuzwa kifikra!! Huwezi kuua watu na wengine kuwatia gerezani halafu useme eti alijitolea kuhudumia wananchi kwa upendo!Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba amekufa kwa sababu anachukiwa dunia mzima?! Hivi ni kipi cha kumfanya achukiwe na dunia mzima?! Kati ya marais mbalimbali wa Iran, Syria, North Korea au hata Kagame, ukiwalinganisha wao na Magufuli ni yupi alikuwa anapata kashikashi za wababe wa dunia?! Mbona hawajafa?Walilifahamu hilo walipopendekeza jina 2015.
Yaonekana kila kitu kilipangwa na yaonekana hata yeye alikuwa akifahamu hilo.
Ila kashikashi za chuki kutoka pande zote za dunia ndizo zimechangia kwa kiasi kikubwa.
Siyo KWELI. Mtu aliye sacrifice kuwatumikia Watanzania maskini asinge wabomolea nyumba wakazi wa Kimara bila kuwafidia. Wala asingetumia Trilion 2.4 kujenga Airport kijijini kwao Chato.Aliji sacrifice kuwatumikia watanzania maskini
View attachment 1729070
Umenena vyema.Askofu amesema yote, cha msingi ambacho mama anatakiwa kukiona mapema ni kuhusu viongozi almost wote waliofanya kazi na Hayati, wameonesha udhaifu mkubwa sana. Ni waongo wa wazi, wana dharau, wana viburi, ni wajeuri na wengi ni wasema hovyo, kwa ufupi hawana karama ya uongozi, labda wanafaa kuwa askari wanyamapori wakapambane na majangili, maana hakuna negotiation kati ya jangili na askari, au wakawe askari magereza napo nina wasiwasi kama hawatakandamiza haki za wafungwa...
Tatizo lilikuwa kwa waliomzunguka... Bashite, Bashiru, Dotto, na majuha na mataga mengine...Kama alijijua kuwa Afya yake haiwezi mikiki ya ofisi hiyo kuu baada ya kaumaliza Ngewe yake ya miaka mitano angewaambia CCM kuwa imetosha
Sasa betrii kwenye Moyo na mikiki yote hiyo so kujitafutia kifo
Ali risk uhai wake kwa Kuiba KuraKwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Hizo Sacrifice alizifanya through Kuiba Kura na Kuwafanyia Figisu Wapinzani wake.Aliji sacrifice kuwatumikia watanzania maskini
View attachment 1729070
Ndio ni chama cha kidini na kikabilaKwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?
Chadema ni chama cha Kikristo?
Hili ni kati ya mawazo ya hovyo sana katika uongozi wa taifa kiuchumi. Kupandisha mishahara kunasababisha gharama za maisha pia zipande na inflation kuongezekaa nathamani ya shillingi kutelemka; ndiyo mambo yaliyovuruga thamani ya shilingi kutoka dola 1 kwa shilling 5 hadi kufikia leo dola 1 kwa shilingi ~2300+. Kenya wana curreny stable sana kwa sababu hawapandishipandishi mishahara yao kufurahisha wapiga debe.11. Tunashauri utawala mpya uwapandishe madaraja Watumishi wa umma wanaostahili pamoja na kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wote.
BAK hivi kulikuwa na figisu gani mpaka JWTZ wakaingilia kati kuhusu kuapishwa suluhu?Mpendwa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan!
Kama nilivyoandika hapo awali, ninapenda kuchukua tena nafasi hii kutoa salaam zangu za pole kwako wewe binafsi kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli. Hakika, hiki ni kipindi kigumu sana kwako wewe binafsi na kwa Tanzania kama Taifa na nchi...