Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

Fao la kujitoa NSSF uuuuwiiii tunakufa mtaani
 
Kwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?

Chadema ni chama cha Kikristo?
Umeshindwa tu kuelewa, mfano hapo mchungaji hakuna sehemu kaipambania ccm ametoa ushauri wa mambo ambao yataijenga nchi. Au we kwa mtazamo wako unahisi mambo yanaihusu chadema?
 
Nadhani JWTZ walikerwa na uongo uliokuwa unaendelea wa kuficha kifo cha jiwe ili tu washamba wapate mtu wao wanayemkubali ili Mama Samia asichukue kiti cha Ikulu. Hivyo wakatishia kutangaza mtu wao. Sijui kama hili sakata la kutomkubali Mama Samia hadi 2025 limekwisha kwani wasiomtaka kwenye nafasi hiyo wanahofia maslahi yao kati ya sasa na 2025.
BAK hivi kulikuwa na figisu gani mpaka JWTZ wakaingilia kati kuhusu kuapishwa suluhu?
 
Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Tunaomfahamu ndiyo maana tulijua ni mkombozi wa nchi hii wa ukweli baada ya Nyerere. Acha vichelema kama Tundu Lissu vibwabwaje tu. Nia ilikuwa kuitanya tanzania ifike pahala kimaendeleo lakini .... kama mchezaji akitaka kufunga goli akakanyagwa mguu usiweze kupiga huo mpira.
 
Hilo la mwisho natamani ndo lingewekwa (kuwa) la mwanzo
 
Nadhani JWTZ walikerwa na uongo uliokuwa unaendelea wa kuficha kifo cha jiwe ili tu washamba wapate mtu wao wanayemkubali ili Mama Samia asichukue kiti cha Ikulu. Hivyo wakatishia kutangaza mtu wao. Sijui kama hili sakata la kutomkubali Mama Samia hadi 2025 limekwisha kwani wasiomtaka kwenye nafasi hiyo wanahofia maslahi yao kati ya sasa na 2025.
hasa ile sukuma club mbao walikuwa wamejibinafsisha nchi
 
Kwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?

Chadema ni chama cha Kikristo?
Nileteeni Gwajimaaa!!!! Huyu atamsumbua sana mama kupitia bunge(genge la walio pitishwa na mtukufu) Mama Samia chunga genge hilo linaweza kukupindua
Kule Kongo Tishekedi amewaweza wafuasi wa Kabila kwa kumshughulikia Spika aliyekuwa amewekwa na Kabila hata wewe Mama una mtaji wa Pm majaliwa lianzisheni nchi ijikomboe kutoka kwa kina Mwigulu wenye mawazo ya Kifashisti
Tutawaliwe na ccm "HURU" Wajumbe waheshimiwe mtu anatoka upinzani leo kesho Spika anamwita bungeni bila haya
 
Mwamakula katoa maoni mema kabisa. Huyu amekuwa kiongozi wa kwanza mwenye maono mema. Lissu, Mzee Warioba, Butiku? Kikwete, Mwinyi? spent force), Roman Catholics authority and other elders of this country watoke watoe maono ya kulinusuru taifa.
 
Ametuonyesha sina ya watu upande wa pili inatosha pymzika kwa amani
 
Kama wakati wa Magufuli waliufyata basi Waendelee kuufyata wamuache Mama afanye anavyojua. Akiwahitaji Kwa ushauri atawauliza..

Vidomodomo na kiherehere cha kushauri. Wangefanya wakati wa Magufuli..kama wanajua Sana kushauri
 
Kama alijijua kuwa Afya yake haiwezi mikiki ya ofisi hiyo kuu baada ya kaumaliza Ngewe yake ya miaka mitano angewaambia CCM kuwa imetosha
Sasa betrii kwenye Moyo na mikiki yote hiyo so kujitafutia kifo
Ile minong'ono kuwa anazimika itakuwa ni kweli lakini alikuwa anazinduka, hata siku ya mazishi ya Mzee Mkapa na siku Ile kule kusini alipata tatizo, ni huzuni alikuwa akijikaza.
 
Na kawaacha masikini kweli kweli!

CCM msirudie hili kosa tena la kuleta mtu mwenye ugonjwa usiotibika.
Mlipokua mnamtembeza Lowasa kwenye kampeni akuwa hawezi kusimama wala kuongea sawasawa mlifikiri ugonjwa wake ulikua unatibika? Au mara hii umeshasahau?

Mambo na mipango ya mungu mwachieni Mungu.

Magufuli kafanya aliyopangiwa na Mungu wake amemaliza na amemaliza kazi
 
Mungu akujalie uhai uje upate majibu ya maswali ya maswali yako
Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom