Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

Mimi binafsi nawaamini wazanzibar, wanahofu ya Mungu, hawana mikiki, hawataki sifa, hawajiinui, kwao blue hawasemi kijani
Shida inawapata wanapokubwa na jini ccm na shetani Tanganyika.

WANAPOTEA
Hawa wazanzibar wangeachwa wajitawale, zanzbr ingekuwa na uchumi mzuri saaaana na mahali pazuri pa kuishi.
 
Wabongo kila mtu mjuaji na judgemental, tutaona
 
Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
....kwamba bora yeye afe kwa korona kuliko kukutangaza uwepo wa maambukizi hayo kwa kuvaa barakoa na kutangaza takwimu za maambukizi ili uchumi usiporomoke......!!

Hamna lolote la maana hapo bali ni kutaka sifa kwamba yeye ni JIWE lisilotikisika. Basi na tuseme sifa zimempeleka mbinguni!
 
Mimi binafsi nawaamini wazanzibar, wanahofu ya Mungu, hawana mikiki, hawataki sifa, hawajiinui, kwao blue hawasemi kijani
Shida inawapata wanapokubwa na jini ccm na shetani Tanganyika.

WANAPOTEA
Hawa wazanzibar wangeachwa wajitawale, zanzbr ingekuwa na uchumi mzuri saaaana na mahali pazuri pa kuishi.
Well said
 
Walilifahamu hilo walipopendekeza jina 2015.

Yaonekana kila kitu kilipangwa na yaonekana hata yeye alikuwa akifahamu hilo.

Ila kashikashi za chuki kutoka pande zote za dunia ndizo zimechangia kwa kiasi kikubwa.
Baada ya msiba wa mzee Mkapa rais Magufuli aliumia sana hakuwahi kuwa sawa.

Vifo vya Balozi Mahiga na wengine hapo kati hadi kuja kufikia Maalim Seif Sharif Hamad na balozi KIJAZI vilikua pigo kubwa sana kwake.

Hakika alijikaza kama rais na mwanaume mbele ya watu ila nafsi yake iliumia na moyo wake uliumia zaidi

Kila mwanadamu ana njia yake atayopita, ameumaliza mwendo apumzike kwa amani kipenzi cha watanzania🙏
 
Daaah! Nataman sana hiki alicho zungumzia askofu kimfikie Madame president, hali iwe shwari kabisa
Shida kuna wanao dhani hii nchi ni yao wenyewe. Na watajaribu kumdanganya Madam President. Mmoja wao mwenye roho hiyo mbaya ni Ndugai.
 
Kwenye biblia kuna mfalme alifariki mwanae akarithi kiti wananchi wakajua sasa muda wa kurelax umefika maana baba alikua mkuda kweli kweli basi wakamuambia huyu mfalme mpya awapunguzie kiwango cha mzigo kilichokua kinatakiwa na mfalme aliyepita..

Mfalme mpya akajibu "Baba yangu aliwaongoza kwa ufito mimi nitawaongoza kwa nondo kwakua nina ub00 mkubwa kuliko hata yeye"
 
Hizo Sacrifice alizifanya through Kuiba Kura na Kuwafanyia Figisu Wapinzani wake.
Pole, Tanzania bado iko imara sana na serikali aliyoiacha ni imara zaidi ya aliyoikuta
 
Nadhani JWTZ walikerwa na uongo uliokuwa unaendelea wa kuficha kifo cha jiwe ili tu washamba wapate mtu wao wanayemkubali ili Mama Samia asichukue kiti cha Ikulu. Hivyo wakatishia kutangaza mtu wao. Sijui kama hili sakata la kutomkubali Mama Samia hadi 2025 limekwisha kwani wasiomtaka kwenye nafasi hiyo wanahofia maslahi yao kati ya sasa na 2025.

Mkuu hap washamba walikuwa wamepanga kubadili katiba ndani ya kipindi hiki kifupi na kuweka mtu wao? Kwani katiba inasemaje Rais aliye madarakani akifariki?
 
Kwenye biblia kuna mfalme alifariki mwanae akarithi kiti wananchi wakajua sasa muda wa kurelax umefika maana baba alikua mkuda kweli kweli basi wakamuambia huyu mfalme mpya awapunguzie kiwango cha mzigo kilichokua kinatakiwa na mfalme aliyepita..

Mfalme mpya akajibu "Baba yangu aliwaongoza kwa ufito mimi nitawaongoza kwa nondo kwakua nina ub00 mkubwa kuliko hata yeye"
Kwenye biblia imeandikwa hilo neno Ub00?
 
Tunaomfahamu ndiyo maana tulijua ni mkombozi wa nchi hii wa ukweli baada ya Nyerere. Acha vichelema kama Tundu Lissu vibwabwaje tu. Nia ilikuwa kuitanya tanzania ifike pahala kimaendeleo lakini .... kama mchezaji akitaka kufunga goli akakanyagwa mguu usiweze kupiga huo mpira.

Rais John Pombe Joseph Magufuli ataendelea kubaki kama rais bora kuwa kutokea sio Tanzania tuu bali duniani

Rais aliyekataa uhuru wa bendera kwa kusimamia ukweli wa kile alichokiamini kwa maslahi ya wananchi wake

John Pombe Magufuli alikua rais wa Watanzania❤

Hata waliotengeneza corona wanaelewa alichowafanya kwa yeye kusimamia kile alichokiamini na ambacho wao ndio wanakifanya sasa. Awareness aliyoiacha Magufuli dunia haitoisahau, hata wasiposema leo ipo siku historia itaongea

Alipoiacha Tanzania sipo alipoiacha, na anayedhani Tanzania itarudi ilikotoka anajidanganya na kujipotezea muda.

Binafsi nitaendelea kumshukuru Mungu kwa uhai wa kipenzi chetu John Pombe Magufuli, ametuachia serikali makini na amepumzika kwa amani amina🙏
 
Pole, Tanzania bado iko imara sana na serikali aliyoiacha ni imara zaidi ya aliyoikuta
Hata yeye aliikuta Tanzania iko Imara na ameiacha ikiwa Imara.
Poleni sana MATAGA,Dictator aliyejiona mungu mtu, Mungu aliye juu na Mwenye Utukufu na Nguvu amewaonesha kuwa si lolote si chochote Mbele zake.
Sasa acheni kuongea ongea na kukufuru, Mungu bado ana hasira na ninyi kwa wizi wenu wa Kura.
Tubuni, la sivyo Mungu atawachapa tena
 
Back
Top Bottom