nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Ndo nani huyo?hv Jibriili ataachia kwel kiti chake????
....kwamba bora yeye afe kwa korona kuliko kukutangaza uwepo wa maambukizi hayo kwa kuvaa barakoa na kutangaza takwimu za maambukizi ili uchumi usiporomoke......!!Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Well saidMimi binafsi nawaamini wazanzibar, wanahofu ya Mungu, hawana mikiki, hawataki sifa, hawajiinui, kwao blue hawasemi kijani
Shida inawapata wanapokubwa na jini ccm na shetani Tanganyika.
WANAPOTEA
Hawa wazanzibar wangeachwa wajitawale, zanzbr ingekuwa na uchumi mzuri saaaana na mahali pazuri pa kuishi.
Baada ya msiba wa mzee Mkapa rais Magufuli aliumia sana hakuwahi kuwa sawa.Walilifahamu hilo walipopendekeza jina 2015.
Yaonekana kila kitu kilipangwa na yaonekana hata yeye alikuwa akifahamu hilo.
Ila kashikashi za chuki kutoka pande zote za dunia ndizo zimechangia kwa kiasi kikubwa.
Shida kuna wanao dhani hii nchi ni yao wenyewe. Na watajaribu kumdanganya Madam President. Mmoja wao mwenye roho hiyo mbaya ni Ndugai.Daaah! Nataman sana hiki alicho zungumzia askofu kimfikie Madame president, hali iwe shwari kabisa
SimjuiHuyo ndyo kiongozi mkuu wa malaika wengne wanamwita "Gabriel"
Pole, Tanzania bado iko imara sana na serikali aliyoiacha ni imara zaidi ya aliyoikutaHizo Sacrifice alizifanya through Kuiba Kura na Kuwafanyia Figisu Wapinzani wake.
Nadhani JWTZ walikerwa na uongo uliokuwa unaendelea wa kuficha kifo cha jiwe ili tu washamba wapate mtu wao wanayemkubali ili Mama Samia asichukue kiti cha Ikulu. Hivyo wakatishia kutangaza mtu wao. Sijui kama hili sakata la kutomkubali Mama Samia hadi 2025 limekwisha kwani wasiomtaka kwenye nafasi hiyo wanahofia maslahi yao kati ya sasa na 2025.
Kwenye biblia imeandikwa hilo neno Ub00?Kwenye biblia kuna mfalme alifariki mwanae akarithi kiti wananchi wakajua sasa muda wa kurelax umefika maana baba alikua mkuda kweli kweli basi wakamuambia huyu mfalme mpya awapunguzie kiwango cha mzigo kilichokua kinatakiwa na mfalme aliyepita..
Mfalme mpya akajibu "Baba yangu aliwaongoza kwa ufito mimi nitawaongoza kwa nondo kwakua nina ub00 mkubwa kuliko hata yeye"
Tunaomfahamu ndiyo maana tulijua ni mkombozi wa nchi hii wa ukweli baada ya Nyerere. Acha vichelema kama Tundu Lissu vibwabwaje tu. Nia ilikuwa kuitanya tanzania ifike pahala kimaendeleo lakini .... kama mchezaji akitaka kufunga goli akakanyagwa mguu usiweze kupiga huo mpira.
Wameandika 'Kiuno' alisema 'Nina kiuno kikubwa kuliko baba yangu'Kwenye biblia imeandikwa hilo neno Ub00?
Hata yeye aliikuta Tanzania iko Imara na ameiacha ikiwa Imara.Pole, Tanzania bado iko imara sana na serikali aliyoiacha ni imara zaidi ya aliyoikuta