Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

Hivi Lissu hizo kejeli na dharau anazotoa atarudi Tz kweli na kuishi salama? Magu ana watu wengi wanaompenda wapo tayari kufanya lolote kutetea heshima yake, Lissu ajichunge sana, binadamu wote tutakufa ila ajue tu na yeye anatafutwa kwenye 18 saivi.
wewe ccm, jinga kabisa, kampeni akma Lisu hapendwi ulizoaje? shallow analysisi
 
Wakati wake ndio huo umefika.
Wapo hata wanaoondoka bila kuugua na wapo wanaougua hata miaka30 kitandani na bado wana uhai
Jifunzeni sasa kutoa kauli nzuri.
 
wewe ccm, jinga kabisa, kampeni akma Lisu hapendwi ulizoaje? shallow analysisi
Niache na shallow analysis yangu, ila mwambie arudi tuone kama atakaa kwa amani, yeye amekejeli na kushangilia kifo cha Magu, walimwengu watamfunza vyema.
 
Kwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?

Chadema ni chama cha Kikristo?
SIjaona kama imetajwa kwenye hilo andiko, zaidi Askofu Mwamakula kataja WAPINZANI, ambao ni zaidi ya Chadema.
 
Jifunzeni sasa kutoa kauli nzuri.
Tulia uone Magufuli alivyoandaa wasaidizi makini, hakua na ubaguzi na hakujali jinsia.... pale ikuluikulu tunae mama Samia na kule bungeni CHADEMA mnawakilishwa na wale wabunge wamama 20

Mwaka wa wamama huu

Mungu ibariki Tanzania
 
Acha uongo.
Makamu wa rais alisema ugonjwa ulikuwa ni atrial fibrillation,ambao ni either treatable or it's effects adjustable and the patient can live his life.
So ulitaka asife ama unataka kusemaje mkuu..

Ndugu yangu, watu wanaokufa kwa mgonjwa yanayotibika ni wengi zaidi, tumeambiwa ugonjwa kadumu nao zaidi ya miaka 10 hv.

Wakat umefika, hakuna ujanja katika hilo
 
Mimi pia namshauri asiwe mpenda sifa. Tbc ambayo ni television ya umma, imefanya kazi kubwa sana ya kumsifu, kumtukuza mh. Magufuli, akiwa hai na baada ya kufariki. Hivi baada ya mazishi tbc itafanya kazi gani?
 
Hii ngoma mama hatoicheza tuwe wakweli...ni mwanamke mzanzibari mstaarabu sana,muungwana,mwenyehuruma,mpole mwenye sura na sauti laini mororo!! Hivi sio vigezo vya kuiongoza Tz
Tz hii yenye kina lissu,sugu,Lena,mdee,mnyika,mbowe,makonda,chenge,rostam,kigogo,mange,msigwa,nape,member,msukuma,KESSY, nk.
Yetu macho,wacha ngoma ianze natunaanza na bluzi/rnb kisha tutaingia rege afu turudi sasa mdundiko,mdumange,mchiriku,baikoko,mnanda,lizombe,singeli nk. Tunaomba azicheze bila kuchoka nshalaa!!
 
Mwamakula katoa maoni mema kabisa. Huyu amekuwa kiongozi wa kwanza mwenye maono mema. Lissu, Mzee Warioba, Butiku? Kikwete, Mwinyi? spent force), Roman Catholics authority and other elders of this country watoke watoe maono ya kulinusuru taifa.
Mkuu mbona maoni na kauli zao ziko kwenye katiba ya JMT
 
Hivi binti kiziwi hadi leo wewe ni binti
 
Mawazo yako tu, kwa nini sasa bidhaa kama za vyakula na material ya ujenzi yalipanda kiholela sana enzi yake ukilinganisha hata na enzi ya Mkapa ingawa mkapa alipandisha mishahara?????
 
Waovu siku zote hawajiamini waache chadema wanamatatizo makubwa basi tu ni rahisi kuona boriti kwenye jicho la mwenzako hivyo waache waendelee
Nawe ukaliona boriti jichoni mwa chadema!
 
Kumbe kiuno ni ub00, basi hata mie ninao
Kwenye biblia kuandikwa maneno kama 'kumjua' kumaanisha 'kufanya ngono' ni kawaida. Unawajua wanaume wangapi? Kama utatumia logic ya biblia hapo una body count ngapi
 
Kama wakati wa Magufuli waliufyata basi Waendelee kuufyata wamuache Mama afanye anavyojua. Akiwahitaji Kwa ushauri atawauliza..

Vidomodomo na kiherehere cha kushauri. Wangefanya wakati wa Magufuli..kama wanajua Sana kushauri
Magufuli alisema wazi hashauriki.
 
Mzee kuna Masheikh wapo jela umesahau kuwasemea au kwakua wewe ni Askofu.
 
Kwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?

Chadema ni chama cha Kikristo?
Hii ni hulka ya binadamu kamili, akiona mtu anaadhibiwa hata kama ni mkosaji atasema asamehewe. Ndio maana Mungu anatuagiza tusamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…