Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

Kama alijijua kuwa Afya yake haiwezi mikiki ya ofisi hiyo kuu baada ya kaumaliza Ngewe yake ya miaka mitano angewaambia CCM kuwa imetosha

Sasa betrii kwenye Moyo na mikiki yote hiyo si kujitafutia kifo
 
Mshaurini mama kutumia sanitizer na kuvaa barakoa. ninaumia sana ninapomuona hajavaa barakoa na anasalimia watu. Au labda ni mimi tu nina shida ninii!!
 
HAYA YOTE ULIYOANDIKA NI MAZURI ILA NGOJA WW UKIJA KUWA RAIS NDIO UTAYAFANYA ILA KWA SASA ENDELEA NA NJIA YA MSALABA ACHA KUPANGIA WATU KAZI ZA KUFANYA...
 
Aliji sacrifice kuwatumikia Watanzania maskini
View attachment 1729070
Alifanyaje ?! Kujisucrifice kwa kutoongeza mishahara ya watumishi na kuongeza makato ?

Kajisucrifice kwa kuiba kura ili atawale milele kama phar ao ?

Kajisucrifice kwa kupiga watu risasi kinyama mchana kweupe ?

Kajisucrifice kwa kupakazia watu kesi na kuwafunga kwa uonevu mf. Bendera

Kajisucrifice kwa kujijengea mahekalu na uwanja wa ndege kijijini kwake ?

Kajisucrifice kwa kudhulumu watu. Mf. Wakulima wa korosho.

Aise mkuu tafadhali sana mbona unatuonyesha damu afu unatuambia ni ya njano wakati sisi tunaona rangi nyekundu ?!!

Kajisucrifice kwa kutukana watu na kuwadhalilisha hadharani. Mf "bakini na mavi yenu nyumbani" "wakinamama mpanuliwe wapi"

Kajisucrifice kwa kuteka na kulazimisha makubaliano na wav. Mf. Mo

Kajisucrifice kwa kuua watu. Mf. Watu kuokotwa kwenye fukwe wakiwa kwenye viroba.

Kajisucrifice kwa kuahidi na kufurahia watu kuishi katika hali mbaya. Mf "mtaishi kama mashetani"

Kajisucrifice kwa kuwafukuza wadogo zetu chuo pale UDOM huku akiwaita "vilaza" mkuu umesahau au unajisahaulisha ?!

Kajisucrifice kwa kubomoa nyumba za watu kionevu bila fidia ?

mkuu tafadhali aise hivi are you serious ?! Huyo pharao alijisucrifice yeye au alisucrifice wananchi wake ?!
 
Kama alijijua kuwa Afya yake haiwezi mikiki ya ofisi hiyo kuu baada ya kaumaliza Ngwe yake ya miaka mitano angewaambia CCM kuwa imetosha
Sasa betrii kwenye Moyo na mikiki yote hiyo si kujitafutia kifo
Kumbe ndiyo maana alikua na hasira sana alikua akiona watu wanadunda alafu akiwaza yeye hana mda mrefu duniani alikua anakasirika sana yaani hasira za mgonjwa aliyekata tamaa. Ndo maana matukio yanayopelekea kuponya uhai wa watu alikua anapinga sana, tukianza na wale wanafunzi kule Arusha,tetemeko bukoba, njaa geita.
 
Kuna siku nilikuwa namuona akinywa kahawa pale Chato sasa Kahawa na Moyo mbovu sijui Dokta wake alikuwa anakazi gani
 
Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Huwezi kupoteza uhai wa mtu kisa eti unajenga madaraja.Ni kichaa na hayawani muuaji tu ndiyo anaweza fanya hivyo.Alichagua aache jina baya na kumbukumbu mbaya.

Hayo yote unaweza kuyafanya ktk amani na utulivu bila hata manung'uniko. Uongozi tu.

Aende na kila mtu atakufa. Na by the way siyo mm nimemuuwa.
 
Shi Shida yote hii ni JK.
 
Hapa umenena vizuri TISS wanatakiwa wapenyezwe maeneo muhimu tu ili kutoa taarifa za kinachofanyika lakini kuwatumia kisiasa siyo jambo jema kwa taifa
 
Nchi inaongozwa na wenye nchi ambao ni miongoni mwa wananchi ila hauwafahamu na inawezekana hujawahi kuwaona; wapo na wana nguvu kuzidi Rais na Katiba, je Wananchi nguvu yao iko wapi?

1. Marekani ni taifa lenye nguvu, Rais wake ana nguvu za ukomo, senata na magavana wa nguvu kwenye jimbo lakini maamuzi ya nani awe Rais na nchi iende mwelekeo upi iko kwenye mikono ya wachache;
2. Uingereza ni taifa la kistaarabu lakini liko chini ya utawala wa malkia/mfalme ambaye hachaguliwi na wananchi ila ni daraja fulani tu lililojitengeneza na kujihalilishia umiliki wa nafasi hiyo. Kiongozi wa kisiasa ijapokuwa anachaguliwa na wananchi lakini ni sharti awe ni mkristo tena dhehebu la Anglikana
3. Tanzania ni zao la nchi mbili huru zilizoungana na kuunda jina moja lenye kuitambulisha kimataifa. Viongozi wanachaguliwa na wananchi lakini kuna nguvu fulani iliyonyuma ya ngome kubwa ndio huchezesha kama karata ni nani awe kiongozi wapi na wakati gani. Mtu akilazimisha kwa kufuata amekidhi sifa zilizoanishwa kwenye katiba kwamba anatosha na wananchi wanaonekana kumuunga mkono juhudi hizo zinaweza kuishia kusikojulikana.

Wapambe wanapoteza viongozi bora wanajaa kiburi ambapo hatima yake wanazalisha chuki badala ya upendo na amani kisha wanasimamia haki na uhuru wa kila mmoja kwa mjibu wa sheria zilizopo.
1. Kusoma sana hakuzalishi kiongozi bora kama maarifa, hekima na busara havitatumika vyema
2. Kuwa mzungumzaji sana na mbishi sio sifa ya kuwa kiongozi bora kama wanaokusikiliza hauwaheshimu na kuwathamini
3. Kusafiri sana duniani na kufahamiana na watu wa aina nyingi tofauti sio kigezo cha mtu kuwa ni kiongozi bora ambaye atawawezesha anaotaka kuwaongoza wafanikiwe kama hataepuka majivuno, dharau, ugomvi, kiburi, chuki, mifarakano na visasi;

Kinachotakiwa kufanyika Tanzania sio katiba mpya au tume huru ya uchaguzi wa kisiasa isipokuwa ni DIRA na SERA BORA za kipekee za Taifa [The National Unique Vision, Direction and better Policies]
 
Ameen
 
Reactions: BAK
"Alipoingia yerusalemu walimwita mbarikiwa...alipofika Golgotha wakasema asulubiwe" [emoji444][emoji444][emoji444]
Sauti ya Bahati Bukuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…