Askofu Mwanamapinduzi: Hezekia Wenje ndie alikuwa wakala wa Abdul kumpelekea rushwa Tundu Lissu nyumbani kwake

Askofu Mwanamapinduzi: Hezekia Wenje ndie alikuwa wakala wa Abdul kumpelekea rushwa Tundu Lissu nyumbani kwake

huo ndo ukweli hua sipendi kuandika thread ,kipindi kile LISu kafunguka iringa,Kuna Uzi niliuchangia na kumtaja wenje...ninalist ndefusana wote watatajwa ...nashauri freeman asikimbie mdahalo ukiwekwa
 

Attachments

  • IMG-20241011-WA0137.jpg
    IMG-20241011-WA0137.jpg
    174.1 KB · Views: 3
Naamini unaweza kuwa na maoni bora zaidi ya haya, mkuu 'Fundi'.

Nakumbuka majibishano yetu hivi karibuni. Sikupata muda wa kurudi tena kwako; lakini naona kumbe unao msimamo usio tetereka.
Kwa bahati mbaya, ni msimamo ulio na kasoro kubwa.
Tundu Lissu haja sema popote hayo maneno unayo dai wewe kayasema. Kwa nini uwe na shaka ya yeye kutojuwa maana ya "uchaguzi ulio haki"?
Haujanitendea haki.

Hapa nilikuwa namzungumzia Askofu ambae alikuwa anahojiwa, sio Lissu. Sijui kwa nini umekimbilia kwa Lissu ambae hata sikumtaja. Ni askofu ndie aliyemuita Wenje muoga kwa kukimbia nchi, pamoja na mambo mengine. Nilichotaka kuonyesha ni jinsi ilivyokuwa rahisi kumpakazia mtu. Huyu anaongea kama mfuasi wa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti. Wenje alitangaza nia ya kutaka kugombea umakamu Mwenyekiti. Hapo unaweza kujumlisha 2 na 2 ukapata 22. Huyu Askofu ametamka wazi kuwa katika uchaguzi wa haki, hamna anaeweza kumshinda Lissu. Hapo si kaunganisha uchaguzi wa haki na ushindi wa Lissu? Hajaweka nafasi ya Lissu kushindwa. Lissu amesema tofauti na huyu askofu. Lissu amesema kuwa hajawahi kuwa Mwenyekiti, na kama atashindwa katika uchaguzi wa haki, atabakia kuwa mwanachama wa CDM ambae hajawahi kuwa Mwenyekiti wa CDM. Haya ni maneno ya kujenga tofauti na ya hao wanaosema kuwa ni wafuasi wake.

Mimi sitashangaa kama akitokeza mwingine atakaesema kuwa haoni sababu ya Lissu kubaki CDM kama atashindwa kwenye uchaguzi. Najua ni hype ya uchaguzi lakini ni hatari. Hasa yanapoonekana dhahiri kumlenga mtu kama Mbowe ambae hajasema kuwa atagombea. Lissu anatakiwa awakemee watu kama hawa.

Amandla...
 
Ninyi machawa mlishakuwa kama mataahira!
'Chama rafiki' kimekuwa ACT hicho?
ACT walishawahi kumpa zawadi mwenyekiti wa CCM? ACT walishawahi kumwalika mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi kwenye shughuli yao? Yote hayo yamefanywa na chama rafiki CHADEMA.
 
View attachment 3179176
Courtesy: MwanaHalisi Online TV

Duuh, sasa mambo yameanza kufumuka na kunoga. Siri siyo siri tena...

Wote tunakumbuka tuhuma za Tundu Lissu kwa mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul kwenda nyumbani kwake mwanzoni mwa mwaka huu 2024 kumshawishi apunguze kasi ya mashambulizi dhidi ya utawala mama yake na yeye atampa mapesa (rushwa) ya kumsaidia kwenye mambo yake...

Katika maelezo ya Tundu Lissu, alisema, ili huyu Abdul amfikie ilibidi kuwatumia viongozi fulani wa CHADEMA very influential ndani ya chama kumfanyia "connection" Ili kuonana naye na ikawa hivyo....

Ktk maelezo ya Tundu Lissu aliyopewa na Abdul alipokutana naye nyumbani kwake (TL) kupelekewa "mzigo" ni kwamba, baadhi ya wenzie ndani ya CHADEMA huyu Abdul alishamalizana nao kwa kupokea migawo yao ya "mzigo wa rushwa ya kuwafunga midomo", kwamba, amebaki yeye tu Tundu Lissu...

Kama tunakumbuka vyema, Tundu Lissu ktk tuhuma dhidi ya baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CHADEMA kuhongwa na Rais Samia kupitia kwa mwanae Abdul, actually alikuwa hataji majina yao zaidi ya kusema wapo...

Sasa leo, Askofu Mwanamapinduzi akihojiwa ktk mahojiano maalumu na Mwanahalisi Online TV, ametegua kitendawili kwa kumtaja kiongozi mmojawapo wa CHADEMA aliyetumiwa na Abdul Ili amwone Tundu Lissu na kumshawishi kuchukua rushwa ya kuziba midomo toka kwa mama yake Rais Samia Suluhu Hassan...

Pamoja na mambo mengine, hebu tazama na msikilize mwenyewe huyu Askofu Mwanamapinduzi...

Sasa mambo yameanza kunoga....
Anatokea Yerico Nyerere anakaza fuvu kumpigia Wenje chapuo kuwa makamo wa Raisi! Chadema imejaa virus na Tundu lissu kuwa Mwenyekiti ndiyo solution.
 
Haujanitendea haki.

Hapa nilikuwa namzungumzia Askofu ambae alikuwa anahojiwa, sio Lissu. Sijui kwa nini umekimbilia kwa Lissu ambae hata sikumtaja. Ni askofu ndie aliyemuita Wenje muoga kwa kukimbia nchi, pamoja na mambo mengine. Nilichotaka kuonyesha ni jinsi ilivyokuwa rahisi kumpakazia mtu. Huyu anaongea kama mfuasi wa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti. Wenje alitangaza nia ya kutaka kugombea umakamu Mwenyekiti. Hapo unaweza kujumlisha 2 na 2 ukapata 22. Huyu Askofu ametamka wazi kuwa katika uchaguzi wa haki, hamna anaeweza kumshinda Lissu. Hapo si kaunganisha uchaguzi wa haki na ushindi wa Lissu? Hajaweka nafasi ya Lissu kushindwa. Lissu amesema tofauti na huyu askofu. Lissu amesema kuwa hajawahi kuwa Mwenyekiti, na kama atashindwa katika uchaguzi wa haki, atabakia kuwa mwanachama wa CDM ambae hajawahi kuwa Mwenyekiti wa CDM. Haya ni maneno ya kujenga tofauti na ya hao wanaosema kuwa ni wafuasi wake.

Mimi sitashangaa kama akitokeza mwingine atakaesema kuwa haoni sababu ya Lissu kubaki CDM kama atashindwa kwenye uchaguzi. Najua ni hype ya uchaguzi lakini ni hatari. Hasa yanapoonekana dhahiri kumlenga mtu kama Mbowe ambae hajasema kuwa atagombea. Lissu anatakiwa awakemee watu kama hawa.

Amandla...
Wapambe wa pande zote mbili (Freeman Mbowe & Tundu Lissu), wengi hawawezi kujieleza vizuri...

So long as umesema hizo ni hype za uchaguzi tu, basi ni kweli tuwaelewe na kuwachukulia hivyo....

Na kwenye mihemko ya kiuchaguzi mashabiki wa mgombea wengi huwa wanamuona mgombea na namna wanavyompenda huyo mgombea, hawatazami mambo mengine yanayomkamilisha mgombea ku - fit kwenye kinyang'anyiro. Hii haiko CHADEMA tu bali iko kotr duniani na katika taasisi yoyote inayopata viongozi wake kwa njia ya chaguzi za wazi na za kidemokrasia....

Kwa upande wa pili, wengi hawazijui principles za uchaguzi kubwa zikiwa free, transparent & fair elections na Accepting results...

Kama shabiki au "Chawa" haelewi haya, kwake tokana na mapenzi a liyonayo kwa mgombea wake, ni rahisi tu kujisemea kuwa " iwe isiwe kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki Tundu Lissu ni lazima ashinde.."

Kauli hii definitely haina balance kwa sababu ndani ya mazingira ya free, transparent and fair election ndimo hasa kuna mgombea kushinda au kushindwa fairly kabisa...

Tundu Lissu anafahamu hili ndiyo maana akasema, kama nikishindwa katika mazingira ya namna sitakuwa mwenyekiti na nitabaki na nafasi yangu ya uanachama...

Hii ni response ya mtu ambaye ni very matured politically...
 
Nani kakulazimisha uyakubali maoni yangu
Hakuna aliyenilazimisha, ndio maana nimeyasoma na kusema "rejected" kwa sababu hayaingii kwenye kichwa cha akili zilizo timamu....!
Hamjui nini maana ya kutoa maoni
Najua na ndio maana nikakushukuru kwa kukuambia "asante kwa maoni yako, lakini hayafai na kwa hiyo, "they are rejected...!"
Mnataka kusikia maoni yanayoendana na mawazo yenu
Hapana, na yako yamesikika lakini hayakufaa kwa sababu hayaiingii kwenye kichwa cha mwenye akili timamu...!

Bado huelewi tu..??
The best part is, if you don't know, now you know my opinion
Ofcoz, I know...

Unfortunately, your opinions are not suitable for public consumption....!!

I am very sorry...
 
View attachment 3179176
Courtesy: MwanaHalisi Online TV

Duuh, sasa mambo yameanza kufumuka na kunoga. Siri siyo siri tena...

Wote tunakumbuka tuhuma za Tundu Lissu kwa mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul kwenda nyumbani kwake mwanzoni mwa mwaka huu 2024 kumshawishi apunguze kasi ya mashambulizi dhidi ya utawala mama yake na yeye atampa mapesa (rushwa) ya kumsaidia kwenye mambo yake...

Katika maelezo ya Tundu Lissu, alisema, ili huyu Abdul amfikie ilibidi kuwatumia viongozi fulani wa CHADEMA very influential ndani ya chama kumfanyia "connection" Ili kuonana naye na ikawa hivyo....

Ktk maelezo ya Tundu Lissu aliyopewa na Abdul alipokutana naye nyumbani kwake (TL) kupelekewa "mzigo" ni kwamba, baadhi ya wenzie ndani ya CHADEMA huyu Abdul alishamalizana nao kwa kupokea migawo yao ya "mzigo wa rushwa ya kuwafunga midomo", kwamba, amebaki yeye tu Tundu Lissu...

Kama tunakumbuka vyema, Tundu Lissu ktk tuhuma dhidi ya baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CHADEMA kuhongwa na Rais Samia kupitia kwa mwanae Abdul, actually alikuwa hataji majina yao zaidi ya kusema wapo...

Sasa leo, Askofu Mwanamapinduzi akihojiwa ktk mahojiano maalumu na Mwanahalisi Online TV, ametegua kitendawili kwa kumtaja kiongozi mmojawapo wa CHADEMA aliyetumiwa na Abdul Ili amwone Tundu Lissu na kumshawishi kuchukua rushwa ya kuziba midomo toka kwa mama yake Rais Samia Suluhu Hassan...

Pamoja na mambo mengine, hebu tazama na msikilize mwenyewe huyu Askofu Mwanamapinduzi...

Sasa mambo yameanza kunoga....
Lissu hajawahi kuhongeka tangu Mkapa, Kikwete na Magufuli.

Vikao vilishafanyika vingi kumhonga vilishashindikana
 
Drama hizi ni kuchafuana tu....Mbona kakazana na Wenje sana??
 
Utaachaje kumwamini dereva aliyekuwa anatembelea gia namba moja anapobadili kwenda gia namba 5 Ili gari lishike kasi kwenye highway...?

Msikilize huyu Askofu vizuri. Anasema kumbe hata Wenje aliambiwa na timu Freeman Mbowe kuwa achukue fomu ya umakamu Mwenyekiti mkakati ukiwa ni kuhakikisha Tundu Lissu Lissu hata umakamu haupati...!

Kujua hilo, Tundu Lissu akasema kumbe ndiyo hivyo? Sasa, nakwenda gia ya mwisho (Uenyekiti) tupambane huko huko juu...

Kwa hiyo brother/sister, hii move Iko very well culculated na hesabu zinakwenda na kuunga automatic...

There's no way watamzuia huyu mwamba kuwa Mwenyekiti unless watumie ujinga huu unaopigiwa kelele sasa wa kutaka kumuua tena...!!

The only option aliyonayo Freeman Mbowe ni kustaafu kwa heshima...

Hili liko very clear unless otherwise anataka kuharibu legacy yake njema aliyoijenga kwa miaka 30+ ya siasa za mageuzi Tanganyika....!!
Imagine haya mambo yanafanyika kwenye chama cha upinzani..
 
Back
Top Bottom