Kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wakeHalafu mtu mcha Mungu tena Mkristo unatangaza ushindi kuwa ni kuendelea kuishi duniani hakika haitarajiwi kutoka kwa Mchungaji. Mtume Paul alisema "Kuishi ni Kristo na kufa ni faida". Mpuuzi kama Mwingira japo aitwa Mchungaji au labda Askofu anaona maneno hayo ya mtume Paul ni nadharia.
Hakuna mshindi na mshindwa mbele ya kifo! Wote tutaonja mauti, na wote kabisa dunia nzima hakuna asiye naHakuna swali la kijinga. Swali ni swali jibu kama huna jibu nyamaza mkuu
Acha ujinga, Aliyeshinda kifo ni Yesu pekee!Kifo.
Huyu tapeli nani alimpa huo uaskofu wake uchwara zaidi ya utapeli wa kawaida?View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Kwa Kweli Hata Mimi nilikua simuungi mikono JPM kwenye baadhi ya mambo lakini Baada ya kifo chake nimekua nikiona mazuri yake Mengi kuliko mabayaThis is nonsensical.... Haya hayana tofauti na kauli ya Kwamba wazuri hawafi.....
Huu ni muendelezo wa kupigana na Marehemu wakati walio Hai wanaendelea kukutafuna...
Alisema 2 Pac...., They say it's the white man I should fear, But it's my own kind doin' all the killin' here.
Sahihi kabisa bossHebu tuwe wakweli hasa kwasisi waamini LISSU alipangiwa kifo cha risasi na wanadamu ambao walisahau mipango ya Mungu si ya mwanadamu!
Huwa tunaepushwa mengi kwa namna ya ajabu na ya kipekee mno na mwisho wa siku tunaishia kumshukuru Mungu maana huko tunakovuka si kwa utashi wala si kwa akili zetu
Maana yake ni hii:View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
lidikteta la chadema li mr Konyagi jizi na lilamba asali na linywa konyqgiSwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
lidikteta la chadema li mr Konyagi jizi na lilamba asali na linywa konyqgiKawaida tu...huyu ana makasiriko yake na JPM...
Ameshinda kifo .Umeelewa ndugu wa Marehemu?Kwahiyo Lisu ameshinda nini wandugu? 🤔
Mwendakuzimu ndiyo aliwatumia zaidi.Mmeanza kutumia viongozi wa dini...
Alirudi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2020Lissu kafanyiwa shambulizi akapelekwa nje ya nchi kutibiwa na akajichimbia huko akawa anaogopa kurudi.
Sawa. Lkn vipi kuhusu majibu ya swali lake?Huyu tapeli nani alimpa huo uaskofu wake uchwara zaidi ya utapeli wa kawaida?
JIBU:View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Waulize wahusika au ujibu mwenyeweSawa. Lkn vipi kuhusu majibu ya swali lake?
Sasa nani mshindi sisi CCM au lissu au mwingira!!!CCM ni taasisi sio magufuliView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo