Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Oneni aibu kutetea ushetani wa Jiwe.Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oneni aibu kutetea ushetani wa Jiwe.Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Baba askofu peke yake aliyetabiri kifo cha JPM hata Rema, Nape, nk kifo kilikuwa wazi kabisa kuwa lazima afe!Hakika nampenda huyu Mzee, alimtabiria Magufuli kifo na kweli Magu hakukatiza miezi 6 akavuta kamba
Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Rombo hotel?NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
====
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Siyo kila mtu analalamika bali wahuni ndio wanaolalamikaAisee haya mambo yanapaswa kufika mwisho why kila mtu analalamika inabid iundwe tume ya muafaka wa kitaifa
Rombo hotel?
Unaonaje baada ya shetani kufa jinsi mnavyoinjoi maishaOneni aibu kutetea ushetani wa Jiwe.
ushauri kuntuAisee haya mambo yanapaswa kufika mwisho why kila mtu analalamika inabid iundwe tume ya muafaka wa kitaifa
Kumbe nyie ni wajinga!Huyu mtu alikufa na maombi yetu
Hahahaaaa........ Nyingine ni mbwembwe tu!Kweli Jiwe alikuwa shetani!
Kwani Lissu alipoongea mlimuitaje?Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Bado wanalialia Mwamba kaonewa!Kumbe nyie ni wajinga!
Badala ya kuomba ccm ife mnaomba afe mtu?
Haya baada ya kufa kwake vipi maisha?
Jiwe was a monsterDuh!Hii "regase" kuilinda "isijichafue" ni kazi kweli!🤔
Huyu nabii alikulaga muke ya muchagga fulani!Ulitaka Tarakea au Mashati ndio uridhike.
Kwani zitto kakamatwa mkuu?Si mchezo,sijui nae atakamatwa na polisi kama Zitto 🍿
Mh ni mzee wa totoziMwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.