mzalendo.com
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 427
- 301
Una video tusikie usije ukawa umeweka na chumvi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmghhhAna hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Uongo!Hakika nampenda huyu Mzee, alimtabiria Magufuli kifo na kweli Magu hakukatiza miezi 6 akavuta kamba
Malaya sio sawa na wauaji, nchi nyingine malaya ni biashara halali kabisa.Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Legacy haisafishikiDuh!Hii "regase" kuilinda "isijichafue" ni kazi kweli![emoji848]
Kwa sababu ya katiba. Rejea maneno ya mwalimu kuhusu katiba.Hakika zama zile zilikuwa ni zama za ujinga. Zama ambazo kila mtu alijawa hofu. Hakika ni zama ambazo sijui vijukuu vyetu tutakuja kuwaeleza nini pale watakapohoji, ilikuwaje mtu mmoja akawa ndiyo Sheria, ndiyo judge ndiye mtoa mahubiri siku za ibaada??
Uhuni wake upo kwenye nini ?Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Magufuli alikuwa gaidiWengi walikuwa wanasema uhuni wanaotendewa.Cha ajabu ilikuwa inatolewa sentensi nyepesi na ya kipuuzi...(eti)..."nani atake kukuua wewe?Kama serikali ikitaka kukuua haishindwi"...!Tuliyoyashuhudia baada ya maneno hayo ya kejeli ni huzuni kwa wapenda amani.
Wafuasi wake(vimbwenerehi) hawataki kusikia ukweli huu uchomao hadi kwenye mifupa.Legacy haisafishiki
Magufuli alikula mke wa balozi wetu akampa na wizara mpya, msitake kutukumbusha machunguHuyu nabii alikulaga muke ya muchagga fulani!
Magufuli alijihisi kama vile yeye ni mungu wa tanzania kumbe mpuuzi tu.Wafuasi wake(vimbwenerehi) hawataki kusikia ukweli huu uchomao hadi kwenye mifupa.
Sasa,kama mtu alikuwa anafungua mlango au sehemu ya juu ya gari likiwa kwenye mwendo mkali ili tu apunge mkono,unaona alikuwa tamimu kweli?Magufuli alijihisi kama vile yeye ni mungu wa tanzania kumbe mpuuzi tu.
Return of the Kings...NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
====
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Despite all odds.NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
====
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Grow upSiyo kila mtu analalamika bali wahuni ndio wanaolalamika