Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Youtube yanapatikana mahubiri ya leo?
 
Hakika zama zile zilikuwa ni zama za ujinga. Zama ambazo kila mtu alijawa hofu. Hakika ni zama ambazo sijui vijukuu vyetu tutakuja kuwaeleza nini pale watakapohoji, ilikuwaje mtu mmoja akawa ndiyo Sheria, ndiyo judge ndiye mtoa mahubiri siku za ibaada??
Kwa sababu ya katiba. Rejea maneno ya mwalimu kuhusu katiba.
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned..

====

Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Return of the Kings...
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned..

====

Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Despite all odds.
Kutetekeza mashamba ni dhambi na laana kubwa sana. Ni ajira ngapi zimepotea hapo. Ni watu wangapi ambao wangepata sehemu y msaada wa chakula wameathirika. Serikali imepoteza kodi kiasi gani kwenye haya mashamba kusimama kazi.

Ni mtawala kipofu tena mwenye kubeba shetani mabegani kwake ndo mwenye uthubutu wa kufanya hayo.

Mwingira najua hadanganyi kwa sababu naelewa vita aliyokuwa anapigana nayo kimya kimya. Benki ile ikafilisiwa. Alipelekewa compliances areas alipe.

Kweli tuliona kuna kitu kinafanyika ktk miundombinu lakini hatuambiwi wangapi wamefilisiwa kulipia hizo gharama.

Kama nchi ni aibu kubwa kufika huko
 
Duh, ila Mwingira nae mhuni sana, kazi ufirauni tu kwa wanawake, pole yake, ila story ya upande mmoja tu hiyo, huyo dada usikute yeye ndio demu wake, labda kamuua yeye kuficha mambo yake. Hawa watu usiwaamini wakiongea, fikiri kiundani.
 
Back
Top Bottom