Rwekaxa Autonomy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 461
- 498
Duh hataree
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndio wasiri wakeMwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Tatizo ni chama mbovu na yenye udhulumati.Aisee haya mambo yanapaswa kufika mwisho why kila mtu analalamika inabid iundwe tume ya muafaka wa kitaifa
Hao wote waliolalamika awali na hata sasa bado hauwaamini tu?Watunge woootee uongo kuhusu utawala mmoja uliopita kwa faida gani?Hasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk
Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Watu wa aina yake huwa wamebarikiwa kipaji cha ghilba ili using'amue kwa wepesi uozo wao.Jiwe alikuwa mchapakazi sawa.. lakini alikuwa na roho mbaya Sana..ya kishetani..
Oneni aibu kutetea ushetani wa Jiwe.
Roho mbaya kwa wahuni sawa tuJiwe alikuwa mchapakazi sawa.. lakini alikuwa na roho mbaya Sana..ya kishetani..
Inasikitisha sanaSasa,kama mtu alikuwa anafungua mlango au sehemu ya juu ya gari likiwa kwenye mwendo mkali ili tu apunge mkono,unaona alikuwa tamimu kweli?
The last time I checked, Polepole alisema mihuni ipo CCM.Haikumalizwa na kuondoshwa na makopo yao ili wakacheze majalalani.Roho mbaya kwa wahuni sawa tu
BADO mo Dewi na zakaria ipo siku watafungukaNdio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Wewe ulitaka tuishi vipi? Mambo ni bam bam!Kumbe nyie ni wajinga!
Badala ya kuomba ccm ife mnaomba afe mtu?
Haya baada ya kufa kwake vipi maisha?
Anapenda sana k tofauti tofauti.Uhuni wake upo kwenye nini ?
Kwahyo na Sasa tuhalalishe umalaya kwa vile nchi nyingine wameruhusu?Malaya sio sawa na wauaji, nchi nyingine malaya ni biashara halali kabisa.
YeesMh ni mzee wa totozi
Inatakiwa CCM iondoke...hao wauaji bado wapo mtaaniZile zama zilikua hatari mno. Na wananchi tusipokua makini kukemea ccm na serikali yake hakika zitarudi.
Hao wote waliolalamika awali na hata sasa bado hauwaamini tu?Watunge woootee uongo kuhusu utawala mmoja uliopita kwa faida gani?