Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned..

====

Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Maneno mazito sana. Hayana Afya kwa Taifa.

Pole sana Baba Askofu
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned..

====

Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Basi nadhani na Nabii Mwingira ana kitu hatukijui juu yake. Maana hata JK hawakuwa wanaelewana. Alipokuja Dkt Magufuli kipindi cha kampeni alimdhihaki sana hicho kipindi na aliwatabiria waumini wake kusema Dkt Magufuli hatoshinda uchaguzi ila Dkt Magufuli akashinda. Nadhani Nabii atakuwa na kitu na serikali ambacho si chema anakijua ila wananchi hatujui. Pia serikali imuue kwa lipi??? Nadhani Nabii atakuwa na ugomvi wa makanisa yao yaani wao kwa wao ma nabii na maaskofu wanatafutana ili kuzimana kasi ya waumini. Dkt Magufuli hakuwa mtu wa tabia ya kuua watu.
 
Hasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk

Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Lissu alikoswa! Una jingine?
 
Hao wote waliolalamika awali na hata sasa bado hauwaamini tu?Watunge woootee uongo kuhusu utawala mmoja uliopita kwa faida gani?
Na kama kila anayelalamika ni hasira juu ya jambo fulani, basi utawala ulijaa tabia ya kutengeneza hasira kwa wananchi wake.. Haiwezekani kila anayelalamika aonekane ana hasira ya kitu fulani
 
Kipindi Magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto kama zifuatazo:

1. Ufisadi na Rushwa serikalini mpaka ndani ya chama cha CCM
2. Wizi na ujambazi majumbani, biasharani mpaka kwenye mabenki
3. Mauaji ya albino
4. Madawa ya kulevya
5. Ugaidi wa kibiti na kule amboni
6. Uporaji silaha vituo vya polisi
7. Ukwepaji kodi na utakatishaji fedha
8. Vyeti feki na watumishi hewa
9. Na mengineyo mengi

Miaka MINNE baada ya Magu kuingia madarakani, asilimia 90% ya hizo changamoto zilikuwa ni historia,,, hatukuzisikia tena zikijitokeza, Serikali ya awamu ya TANO ilizitokomezea mbali

Sasa huyu Mwingira alishakuwa na kashfa za madawa, lakn pía enzi za utawala wa Jakaya alishawahi kukamatwa na mkono wa albino ndani ya gari lake, haikujulikana kesi yake aliimalizaga vipi lakn alirudi uraiani na kuendelea na mishe zake

Sasa mtu mwenye kashfa za namna hiyo ataufurahia vipi utawala uliokata mrija wa chakula chake cha harámu!????

Vipi kuhusu waliokuwa wakishiriki matukio ya ujambazi, vyeti feki, wauza madawa, wapiga dili za ufisadi Serikalini, wezi na wahujumu wa mali za CCM, wakwepa kodi,, nk nk
JE WATU WA KWENYE MAKUNDI HAYA WATAFURAHIA UTAWALA WA MAGU ULIOHARIBU MRIJA WA CHAKULA CHAO...!????
Utetezi huo ulimtetea haikuwa hoja ya kuwaonea wengine.Kwamba huyu anapigwa bila sababu kwa sababu kuna sehemu watu ni wahalifu?Hakukuwa na haki wala ukweli.
 
Basi nadhani na Nabii Mwingira ana kitu hatukijui juu yake. Maana hata JK hawakuwa wanaelewana. Alipokuja Dkt Magufuli kipindi cha kampeni alimdhihaki sana hicho kipindi na aliwatabiria waumini wake kusema Dkt Magufuli hatoshinda uchaguzi ila Dkt Magufuli akashinda. Nadhani Nabii atakuwa na kitu na serikali ambacho si chema anakijua ila wananchi hatujui. Pia serikali imuue kwa lipi??? Nadhani Nabii atakuwa na ugomvi wa makanisa yao yaani wao kwa wao ma nabii na maaskofu wanatafutana ili kuzimana kasi ya waumini. Dkt Magufuli hakuwa mtu wa tabia ya kuua watu.
Huyo alikuwa na roho mbaya na muuaji mkubwa hakuna mfano wake hapa nchini!
 
Huyo alikuwa na roho mbaya na muuaji mkubwa hakuna mfano wake hapa nchini!
Hapana mkuu acheni hizo mambo. Mwingira alikuwa na chuki binasafi kwa sababu mambo ya uchaga na mke ni mchaga na lowasa.
 
Kipindi Magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto kama zifuatazo:

1. Ufisadi na Rushwa serikalini mpaka ndani ya chama cha CCM
2. Wizi na ujambazi majumbani, biasharani mpaka kwenye mabenki
3. Mauaji ya albino
4. Madawa ya kulevya
5. Ugaidi wa kibiti na kule amboni
6. Uporaji silaha vituo vya polisi
7. Ukwepaji kodi na utakatishaji fedha
8. Vyeti feki na watumishi hewa
9. Na mengineyo mengi

Miaka MINNE baada ya Magu kuingia madarakani, asilimia 90% ya hizo changamoto zilikuwa ni historia,,, hatukuzisikia tena zikijitokeza, Serikali ya awamu ya TANO ilizitokomezea mbali

Sasa huyu Mwingira alishakuwa na kashfa za madawa, lakn pía enzi za utawala wa Jakaya alishawahi kukamatwa na mkono wa albino ndani ya gari lake, haikujulikana kesi yake aliimalizaga vipi lakn alirudi uraiani na kuendelea na mishe zake

Sasa mtu mwenye kashfa za namna hiyo ataufurahia vipi utawala uliokata mrija wa chakula chake cha harámu!????

Vipi kuhusu waliokuwa wakishiriki matukio ya ujambazi, vyeti feki, wauza madawa, wapiga dili za ufisadi Serikalini, wezi na wahujumu wa mali za CCM, wakwepa kodi,, nk nk
JE WATU WA KWENYE MAKUNDI HAYA WATAFURAHIA UTAWALA WA MAGU ULIOHARIBU MRIJA WA CHAKULA CHAO...!????
Hasafishiki huyo hata uwe na kichwa cha mwendawazimu!
 
Back
Top Bottom