42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Hayo ni madhambi yake... Unaonaje ukifungua uzi nayo tutayadiscuss.Anapenda sana k tofauti tofauti.
Ila kuyaleta hapa ni kujustify madhambi aliyofanyiwa na Shetani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni madhambi yake... Unaonaje ukifungua uzi nayo tutayadiscuss.Anapenda sana k tofauti tofauti.
Naskia anawala kishenzi kondoo wake.Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Kwani Lissu alitaka kuuwawa kwa lipi?Basi nadhani na Nabii Mwingira ana kitu hatukijui juu yake. Maana hata JK hawakuwa wanaelewana. Alipokuja Dkt Magufuli kipindi cha kampeni alimdhihaki sana hicho kipindi na aliwatabiria waumini wake kusema Dkt Magufuli hatoshinda uchaguzi ila Dkt Magufuli akashinda. Nadhani Nabii atakuwa na kitu na serikali ambacho si chema anakijua ila wananchi hatujui. Pia serikali imuue kwa lipi??? Nadhani Nabii atakuwa na ugomvi wa makanisa yao yaani wao kwa wao ma nabii na maaskofu wanatafutana ili kuzimana kasi ya waumini. Dkt Magufuli hakuwa mtu wa tabia ya kuua watu.
Ni wangapi wameteketezwa ni serakali ya aliyokuwa anaongoza magufuli?
Mbona mnajitia ujinga kichwani?
Au kwa vile hayakukufika wewe unaona wengine hayawezi kuwafika?
Kiufupi ni kwamba magufuli alikuwa muuaji aliyejificha kwemye kiti chá uraisi.
Kutekwa,kuuliwa kwa watu na wengine kulalamika kama kiongozi wa nchi kuna siku alikemea hayo maovu yaliyokuwa yanajitokeza nchini?
Teteani ujinga alikuwa anaufanya lakni ukweli ndio huwo.
Mungu hapendi wanafiki na magufuli alikuwa mnafiki sana kila siku ibadani akitoka kauli mbovu matusi kwa watumishi wa umma kisha mnakuja na kumtetea, kashakufa nenda ukamfufue aendeleze kazi yake.
Lisu ni mabeberuKwani Lissu alitaka kuuwawa kwa lipi?
Napingana na wwMwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Kwa hoja hizi ndio maana mungu wenu yuko mavumbini huko analiwa na funza...Lisu ni mabeberu
Wewe utamuacha aliyekulia muke?Kwa hiyo kwa sababu yeye alikula mke wa mchaga ndio justification ya kufanyiwa hayo aliyofanyiwa?
Hivi unadhani kikwete leo akifa ataoga matusi kama aliyooga huyo shetani?
Mkapa alikufa... Watu wa pemba si uliwaona walivokuwa?
Huku Bongo alitukanwa kama alivyotukanwa huyo mungu wenu?
Yes ni muhuni aliyekubuhu, ingawa no one is perfect ila ana hako ka udhaifu ka kupenda mbususuNaskia anawala kishenzi kondoo wake.
Ben saane alilalamika sana kutafutwa na kutakakuuliwa akatekwa akauliwa ni serikali ya jiwe,. Mawazo alikuwa kiongozi wa chadema alipigwa mapanga akafarikiri ndani ya uongozi W jiwe, wapo wengi sana wengine siwajui majina yao, waliotekwa na kufungwa kwenye viroba na kuuliwa wakatupwa baharini waliuwawa kwemye uongozi wa jiwe hayo malalamiko yote watu waliyasema lákni hakuna alilolifanyia kazi kwasbabau alikuwa anabariki hayo. Kwa vile watu walikuwa hawana pakulalamika na wakasikilizwa mioyo yao wakaielekeza KWA Mungu mwisho jiwe ameshakuwa mifupa miboviu isiyonathamani hat ya senti moja.Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 60ml, sasa naomba unipe IDADI YA WATU KUMI tu ambao wameuawa ktk utawala wa JPM
Kwahiyo kama magu hakuwa dhaifu ndio atumie Urais wake kwa kuteka,kuuwa,kutukuna watu, kufilisi watu,kuvunjia watu makaazi yao n.k?
Ndio katiba ilivyomuelekeza afanye hvyo?
Magu alikuwa mshenzi.
Napinga ukatili na uonevu wowote, ila hata yeye ana weakness zake mkuu.Hayo ni madhambi yake... Unaonaje ukifungua uzi nayo tutayadiscuss.
Ila kuyaleta hapa ni kujustify madhambi aliyofanyiwa na Shetani.
Acha azitafune,hazijielewi zenyeweYes ni muhuni aliyekubuhu, ingawa no one is perfect ila ana hako ka udhaifu ka kupenda mbususu
Habari za nyomi ziache...Uliona lile nyomi lililojitokeza kumuaga na kuomboleza kifo cha mpendwa wao Magufuli kila msafara wake ulipokuwa ukipita..!???
Mmezeshwa na kukaririshwa pumba tu
Kama anayoyazungumza ni kweli yamemtokea then then tusimpuuze.Napinga ukatili na uonevu wowote, ila hata yeye ana weakness zake mkuu.
Huyo shetani wenu alikula mke wa balozi na kumzalisha mtoto kabisa.Wewe utamuacha aliyekulia muke?
Yamekuwa nafuu...Kumbe nyie ni wajinga!
Badala ya kuomba ccm ife mnaomba afe mtu?
Haya baada ya kufa kwake vipi maisha?
Ni watu wangapi wanaukwepa huo mkono wa serikali ?Hasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk
Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Ben saane alilalamika sana kutafutwa na kutakakuuliwa akatekwa akauliwa ni serikali ya jiwe,. Mawazo alikuwa kiongozi wa chadema alipigwa mapanga akafarikiri ndani ya uongozi W jiwe, wapo wengi sana wengine siwajui majina yao, waliotekwa na kufungwa kwenye viroba na kuuliwa wakatupwa baharini waliuwawa kwemye uongozi wa jiwe hayo malalamiko yote watu waliyasema lákni hakuna alilolifanyia kazi kwasbabau alikuwa anabariki hayo. Kwa vile watu walikuwa hawana pakulalamika na wakasikilizwa mioyo yao wakaielekeza KWA Mungu mwisho jiwe ameshakuwa mifupa miboviu isiyonathamani hat ya senti moja.