Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Basi nadhani na Nabii Mwingira ana kitu hatukijui juu yake. Maana hata JK hawakuwa wanaelewana. Alipokuja Dkt Magufuli kipindi cha kampeni alimdhihaki sana hicho kipindi na aliwatabiria waumini wake kusema Dkt Magufuli hatoshinda uchaguzi ila Dkt Magufuli akashinda. Nadhani Nabii atakuwa na kitu na serikali ambacho si chema anakijua ila wananchi hatujui. Pia serikali imuue kwa lipi??? Nadhani Nabii atakuwa na ugomvi wa makanisa yao yaani wao kwa wao ma nabii na maaskofu wanatafutana ili kuzimana kasi ya waumini. Dkt Magufuli hakuwa mtu wa tabia ya kuua watu.
Kwani Lissu alitaka kuuwawa kwa lipi?
 
Ni wangapi wameteketezwa ni serakali ya aliyokuwa anaongoza magufuli?

Mbona mnajitia ujinga kichwani?

Au kwa vile hayakukufika wewe unaona wengine hayawezi kuwafika?

Kiufupi ni kwamba magufuli alikuwa muuaji aliyejificha kwemye kiti chá uraisi.

Kutekwa,kuuliwa kwa watu na wengine kulalamika kama kiongozi wa nchi kuna siku alikemea hayo maovu yaliyokuwa yanajitokeza nchini?

Teteani ujinga alikuwa anaufanya lakni ukweli ndio huwo.

Mungu hapendi wanafiki na magufuli alikuwa mnafiki sana kila siku ibadani akitoka kauli mbovu matusi kwa watumishi wa umma kisha mnakuja na kumtetea, kashakufa nenda ukamfufue aendeleze kazi yake.

Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 60ml, sasa naomba unipe IDADI YA WATU KUMI tu ambao wameuawa ktk utawala wa JPM
 
Hivi unadhani kikwete leo akifa ataoga matusi kama aliyooga huyo shetani?

Mkapa alikufa... Watu wa pemba si uliwaona walivokuwa?

Huku Bongo alitukanwa kama alivyotukanwa huyo mungu wenu?

Uliona lile nyomi lililojitokeza kumuaga na kuomboleza kifo cha mpendwa wao Magufuli kila msafara wake ulipokuwa ukipita..!???

Mmezeshwa na kukaririshwa pumba tu
 
Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 60ml, sasa naomba unipe IDADI YA WATU KUMI tu ambao wameuawa ktk utawala wa JPM
Ben saane alilalamika sana kutafutwa na kutakakuuliwa akatekwa akauliwa ni serikali ya jiwe,. Mawazo alikuwa kiongozi wa chadema alipigwa mapanga akafarikiri ndani ya uongozi W jiwe, wapo wengi sana wengine siwajui majina yao, waliotekwa na kufungwa kwenye viroba na kuuliwa wakatupwa baharini waliuwawa kwemye uongozi wa jiwe hayo malalamiko yote watu waliyasema lákni hakuna alilolifanyia kazi kwasbabau alikuwa anabariki hayo. Kwa vile watu walikuwa hawana pakulalamika na wakasikilizwa mioyo yao wakaielekeza KWA Mungu mwisho jiwe ameshakuwa mifupa miboviu isiyonathamani hat ya senti moja.
 
Kwahiyo kama magu hakuwa dhaifu ndio atumie Urais wake kwa kuteka,kuuwa,kutukuna watu, kufilisi watu,kuvunjia watu makaazi yao n.k?

Ndio katiba ilivyomuelekeza afanye hvyo?

Magu alikuwa mshenzi.

Kama ulibomolewa makazi yako kinyume na sheria basi nenda mahakamani haki yako itapatikana, ila kama ulijenga kinyume na sheria ya ardhi na makazi NAKUPA POLE mkuu

Kutokujua sheria hakuna excuse
 
Hayo ni madhambi yake... Unaonaje ukifungua uzi nayo tutayadiscuss.

Ila kuyaleta hapa ni kujustify madhambi aliyofanyiwa na Shetani.
Napinga ukatili na uonevu wowote, ila hata yeye ana weakness zake mkuu.
 
Uliona lile nyomi lililojitokeza kumuaga na kuomboleza kifo cha mpendwa wao Magufuli kila msafara wake ulipokuwa ukipita..!???

Mmezeshwa na kukaririshwa pumba tu
Habari za nyomi ziache...

Akina Stallin walishajaza nyomi na enzi hizo hakukuwa hata na mitandao ya kijamii....

Mimi sijaongelea habari ya Nyomi.

Kwanini jamaa yenu atukanwe baada ya kufa?

Mkapa alikufa, Je alitukanwa kama Magu?
 
Napinga ukatili na uonevu wowote, ila hata yeye ana weakness zake mkuu.
Kama anayoyazungumza ni kweli yamemtokea then then tusimpuuze.

Pia naye tumuhukumu kwa mabaya yake.
 
Hasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk

Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Ni watu wangapi wanaukwepa huo mkono wa serikali ?

Tena agents hawa weusi ambao wanafanya mistakes kibao kwenye operation zao

Kama Mungu hajaamua hakuna atakayekufa hata muwatumie mossad etc ndiomna Lissu hakufa.
 
Ben saane alilalamika sana kutafutwa na kutakakuuliwa akatekwa akauliwa ni serikali ya jiwe,. Mawazo alikuwa kiongozi wa chadema alipigwa mapanga akafarikiri ndani ya uongozi W jiwe, wapo wengi sana wengine siwajui majina yao, waliotekwa na kufungwa kwenye viroba na kuuliwa wakatupwa baharini waliuwawa kwemye uongozi wa jiwe hayo malalamiko yote watu waliyasema lákni hakuna alilolifanyia kazi kwasbabau alikuwa anabariki hayo. Kwa vile watu walikuwa hawana pakulalamika na wakasikilizwa mioyo yao wakaielekeza KWA Mungu mwisho jiwe ameshakuwa mifupa miboviu isiyonathamani hat ya senti moja.

Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA

Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
 
Back
Top Bottom