Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Yesu ana wakati wake wa kuwaita watumishi wake,Askofu hutaki kwenda kukutana na Yesu
Kwa mwaka huu 2021 tutakumbuka kuitwa kwa T. B. Joshua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ana wakati wake wa kuwaita watumishi wake,Askofu hutaki kwenda kukutana na Yesu
Wewe ulitaka amzalishe nini?Huyo shetani wenu alikula mke wa balozi na kumzalisha mtoto kabisa.
Mahatma gani ya Tanzania inayotoa haki bila ya matakwa ya mamlaka ya juu.Kama ulibomolewa makazi yako kinyume na sheria basi nenda mahakamani haki yako itapatikana, ila kama ulijenga kinyume na sheria ya ardhi na makazi NAKUPA POLE mkuu
Kutokujua sheria hakuna excuse
Mpaka apate maono kama ni muda sahihi kuondoka🤔.Askofu hutaki kwenda kukutana na Yesu
Mniombee
mungu wako analiwa na funza huko mavumbini.Wewe ulitaka amzalishe nini?
Nakwambia hivi kubali au kataaa magu alikuwa muuji alikuwa amejificha kwenye mgongo was Urais.Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA
Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
Hapo wajinga watakutajia Lisu! Pia huyo Mwingira ni kiongozi upumbavu hana hekima hata kidogo!Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA
Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
Kalifilisiwa Kwa nongwa kama ilivyo Kwa mbambikiwa kesi🏃.Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
MmmmmhMwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Mwamba ana mkwanja mrefu sana pongezi kwake…10 billion
Unaonaje baada ya shetani kufa jinsi mnavyoinjoi maisha
Acha kutetea ilo jitu, Magu alikuwa na roho mbaya sana Kama hayakukuta piga kimyaKwahyo na Sasa tuhalalishe umalaya kwa vile nchi nyingine wameruhusu?
Kama ndivyo fuata utaratibu wa kisheria ili haki itendeke...NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira
Katika ibada inayoendelea kanisa la mchungaji Mwingira Mkuu wa mkoa RC Makonda Amelia kwa uchungu mbele ya madhabau kutokana na matukio mabaya yanayoendelea mkoani Dar ess salaam hasa suala la ushoga === Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amehudhuria ibada ya kwanza kwa Askofu Mwingira DSM...www.jamiiforums.com
Kumbe nyie ni wajinga!
Badala ya kuomba ccm ife mnaomba afe mtu?
Haya baada ya kufa kwake vipi maisha?
Despite all odds.
Kutetekeza mashamba ni dhambi na laana kubwa sana. Ni ajira ngapi zimepotea hapo. Ni watu wangapi ambao wangepata sehemu y msaada wa chakula wameathirika. Serikali imepoteza kodi kiasi gani kwenye haya mashamba kusimama kazi.
Ni mtawala kipofu tena mwenye kubeba shetani mabegani kwake ndo mwenye uthubutu wa kufanya hayo.
Mwingira najua hadanganyi kwa sababu naelewa vita aliyokuwa anapigana nayo kimya kimya. Benki ile ikafilisiwa. Alipelekewa compliances areas alipe.
Kweli tuliona kuna kitu kinafanyika ktk miundombinu lakini hatuambiwi wangapi wamefilisiwa kulipia hizo gharama.
Kama nchi ni aibu kubwa kufika huko
Legancy imeshindwa kujitetea na Bado wanao itetea wanapitia kipindi kigumu.
Aendelee kuwadanganya vipofu. Kamchukua mke wa mtu na kumzalisha au anadhani tumesahau? Akatoa rushwa mumewe afukuzwe nchini kuwa sio raia ili asiendeshe kesi ya kuobiwa mke. Mwingira asidhani kuwa sisi tu vipofu. Halafu mbona hata akisimama kuhubiri madhabahuni anaonekana mwrupe sana?Noma sana. Askofu kaponea chupli chupli mara tatu?