Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Kama ulibomolewa makazi yako kinyume na sheria basi nenda mahakamani haki yako itapatikana, ila kama ulijenga kinyume na sheria ya ardhi na makazi NAKUPA POLE mkuu

Kutokujua sheria hakuna excuse
Mahatma gani ya Tanzania inayotoa haki bila ya matakwa ya mamlaka ya juu.

Sinamakazi huko lkn hayo yamefanyika kinyume na taratibu.

Anaetoa vibali vya ujenzi ni nani?
 
Ukitaka kumtoa nyoka shimoni usibomoe shimo, mwagia mafuta ya taa tu atachomoka mwenyewe. Tunaenda pazuri ....
 
Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA

Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
Nakwambia hivi kubali au kataaa magu alikuwa muuji alikuwa amejificha kwenye mgongo was Urais.

Tetea ushenzi wake lakni ndio hivyo tena maji yakishamwagika hayazoleki tena.
 
Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA

Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
Hapo wajinga watakutajia Lisu! Pia huyo Mwingira ni kiongozi upumbavu hana hekima hata kidogo!
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned..
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.

Pia, soma:

Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Kama ndivyo fuata utaratibu wa kisheria ili haki itendeke...
 
Suala sio CCM kufa.

CCM haiwezi kuwa na shida kama ina binadamu wanaojali utu,heshima,demokrasia na utawala bora.
Tujifunze kutenda wema katika nafasi zetu.

Basi walau hata pale ubaya utokeapo ionekana ni katika kutimiza wajibu zetu kama viongozi.
Kumbe nyie ni wajinga!

Badala ya kuomba ccm ife mnaomba afe mtu?

Haya baada ya kufa kwake vipi maisha?
 
Unadhan yule Iblis alijali hayo????yule hata kama ulikuwa na mgogoro nae primary lazma angekukomesha kwa madaraka yake
Despite all odds.
Kutetekeza mashamba ni dhambi na laana kubwa sana. Ni ajira ngapi zimepotea hapo. Ni watu wangapi ambao wangepata sehemu y msaada wa chakula wameathirika. Serikali imepoteza kodi kiasi gani kwenye haya mashamba kusimama kazi.

Ni mtawala kipofu tena mwenye kubeba shetani mabegani kwake ndo mwenye uthubutu wa kufanya hayo.

Mwingira najua hadanganyi kwa sababu naelewa vita aliyokuwa anapigana nayo kimya kimya. Benki ile ikafilisiwa. Alipelekewa compliances areas alipe.

Kweli tuliona kuna kitu kinafanyika ktk miundombinu lakini hatuambiwi wangapi wamefilisiwa kulipia hizo gharama.

Kama nchi ni aibu kubwa kufika huko
 
Noma sana. Askofu kaponea chupli chupli mara tatu?
Aendelee kuwadanganya vipofu. Kamchukua mke wa mtu na kumzalisha au anadhani tumesahau? Akatoa rushwa mumewe afukuzwe nchini kuwa sio raia ili asiendeshe kesi ya kuobiwa mke. Mwingira asidhani kuwa sisi tu vipofu. Halafu mbona hata akisimama kuhubiri madhabahuni anaonekana mwrupe sana?
 
Back
Top Bottom