Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Sheria za nchi hazitoshi kushughulika nao?..

.Sasa sheria zina kazi gani kama mnatumia uhalifu kushughulika uhalifu?

Sheria na demokrasia ni mali ya waerevu na sio primitive society...Taifa letu bado liko kwenye Primitive stage...

Wapumbavu wapo kila mahala, na ukifuata sheria basi huwezi kutoa hukumu sahihi dhidi ya wapumbavu..

Ukishakuwa na file la mtu fulani na matendo yake mabaya kwa Taifa ni kutoa amri ashughulikiwe, tukiwamaliza hawa basi upumbavu utakuwa umeisha na waerevu watakaobaki watatungiwa sheria na kupewa demokrasia waifuate...Stage hii imepitiwa na mataifa yote tunayoyaita yameendelea..
 
Mlidhan boss wenu angeishi milele mbwa nyie
 
Kweli mtu akiguswa Mali ndio utamjua.
Siko miongoni wa wanaotumia ujinga wa WaTz kujimbilikizia mali kwa mwamvuli wa dini.
Wajipa majina ya Mitume, Manabii na mengine kemkem ili wawatishe wajinga halafu wachukue hela zao

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Haya kuchomwa na wananchi, usidhani mtatupoteza kirahisi. Ameshawataja wahusika, hivyo hata mseme nini, Ukweli uko palepale.
Yalichomwa na wanakijiji wenye hasira baada ya mwingira kuexpand kwenye eneo lenye mgogoro buffer zone, na walinzi wake wakamuua mwanakijiji kwa risasi
 
Mungu aendelee kukupigania dhidi ya hawa wana wa iblisi wanaoabudu ktk vita ya damu na nyama
 
Mnayosema yote ni kweli wala hatuwakatalii, ila alichosema leo huko kanisani ni kweli tupu. Hivyo ibueni uchafu wake mwingine wowote, lakini hamuwezi kufifisha ukweli aliosema leo.

Ukweli upi mkuu aliousema...hebu uweke tuone huo the so called ukweli...
 
Hao wapumbavu walishawahi kumalizwa wapi?....utajuaje umewamaliza?
 
Hao wapumbavu walishawahi kumalizwa wapi?....utajuaje umewamaliza?
 
Kazi ya Yesu ilikuwa kuhubiri injili sio kufanya biashara kwa kutumikisha mnaowaita waumini.

Mwingira ana mashamba ya ngano kwa maelfu Sumbawanga na huwa anatumikisha Sana waumini.Usikute hata Kodi halipi.
 
Nikama vike hali inastaajibisha, hii nchi haijulikanai nani ni nani, naanza kuamini taratibu maneno ya mwingira kuwa inawezekana kuna shetani nchi hii

Hayati Magufuli alisema wazi kuwa alinusurika kuuwawa

Lengai Ole Sabaya nae alieleza mahakamani kuwa alinusurika kuuwawa mara mbili,

Lissu nae alinusurika kuuwawa,

Mzee mangula pia Alinusutika kuuwawa,

Lema alinusurika kuuwawa,

Nabii Mwingira nae alinusurika kuuwawa

Zakaria alinusurika kuuwawa,

lakini cha ajabu hawawataji waliotaka kuwauwa hawakamatwi na mpaka leo hawajulikani,


Nchi hii kuna nini? kuna kundi la watu waliojificha wanatenda haya? je mpaka walitaka kumuua JPM na alipopata Urais akashindwa kuwakamata? Je, waliotaka kumuua Mangula kwa kumnywesha sumu? vipi kwa sabaya?


tuendelee kukaa na kitendawili hiki?

NANI MUUWAJI NCHI HII?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…