Sheria za nchi hazitoshi kushughulika nao?..
.Sasa sheria zina kazi gani kama mnatumia uhalifu kushughulika uhalifu?
Mlidhan boss wenu angeishi milele mbwa nyieHasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk
Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Yalichomwa na wanakijiji wenye hasira baada ya mwingira kuexpand kwenye eneo lenye mgogoro buffer zone, na walinzi wake wakamuua mwanakijiji kwa risasiHaya kuchomwa na wananchi, usidhani mtatupoteza kirahisi. Ameshawataja wahusika, hivyo hata mseme nini, Ukweli uko palepale.
Ni kuna watu wanaifanya kuwa ngumu wakati haipo hivyo.Hii nchi ngumu sana
Kwahiyo hao watu bado wapo.kwanini waitoe hiyo clip.Hilda Newton anadai clip ya Mwingira imeondolewa YouTube.
Mnayosema yote ni kweli wala hatuwakatalii, ila alichosema leo huko kanisani ni kweli tupu. Hivyo ibueni uchafu wake mwingine wowote, lakini hamuwezi kufifisha ukweli aliosema leo.
Hao wapumbavu walishawahi kumalizwa wapi?....utajuaje umewamaliza?Sheria na demokrasia ni mali ya waerevu na sio primitive society...Taifa letu bado liko kwenye Primitive stage...
Wapumbavu wapo kila mahala, na ukifuata sheria basi huwezi kutoa hukumu sahihi dhidi ya wapumbavu..
Ukishakuwa na file la mtu fulani na matendo yake mabaya kwa Taifa ni kutoa amri ashughulikiwe, tukiwamaliza hawa basi upumbavu utakuwa umeisha na waerevu watakaobaki watatungiwa sheria na kupewa demokrasia waifuate...Stage hii imepitiwa na mataifa yote tunayoyaita yameendelea..
Hao wapumbavu walishawahi kumalizwa wapi?....utajuaje umewamaliza?Sheria na demokrasia ni mali ya waerevu na sio primitive society...Taifa letu bado liko kwenye Primitive stage...
Wapumbavu wapo kila mahala, na ukifuata sheria basi huwezi kutoa hukumu sahihi dhidi ya wapumbavu..
Ukishakuwa na file la mtu fulani na matendo yake mabaya kwa Taifa ni kutoa amri ashughulikiwe, tukiwamaliza hawa basi upumbavu utakuwa umeisha na waerevu watakaobaki watatungiwa sheria na kupewa demokrasia waifuate...Stage hii imepitiwa na mataifa yote tunayoyaita yameendelea..
Jiwe hajawahi kuwa shetani!!alikuwa anawabatiza kwa moto wapuuzi kama wwOneni aibu kutetea ushetani wa Jiwe.
Kazi ya Yesu ilikuwa kuhubiri injili sio kufanya biashara kwa kutumikisha mnaowaita waumini.NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned.
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira
Katika ibada inayoendelea kanisa la mchungaji Mwingira Mkuu wa mkoa RC Makonda Amelia kwa uchungu mbele ya madhabau kutokana na matukio mabaya yanayoendelea mkoani Dar ess salaam hasa suala la ushoga === Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amehudhuria ibada ya kwanza kwa Askofu Mwingira DSM...www.jamiiforums.com
inastaajabisha sana asee