Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Yule mpumbavu aliitwa mheshimiwa mungu na Prof Kabudi akadhani kweli yeye ni mungu. Na Sheikh wa BAKWATA mkoa Alhad akasema Magufuli ni maarufu kuliko Yesu na Muhammad.

Mungu wetu aliyehai akamuonyesha kuwa Magu si chochote, akamtupia mafua ya COVID-19 tu kwisha kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…