Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Hakika zama zile zilikuwa ni zama za ujinga. Zama ambazo kila mtu alijawa hofu. Hakika ni zama ambazo sijui vijukuu vyetu tutakuja kuwaeleza nini pale watakapohoji, ilikuwaje mtu mmoja akawa ndiyo Sheria, ndiyo judge ndiye mtoa mahubiri siku za ibaada??
 
Rombo hotel?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…